Waziri wa Mambo ya Ndani ingilia kati juu ya mauaji yanayofanywa na viongozi wa Serikali za Mitaa huko Mwanza

Hahahaa
Umejiunga mwezi februari umeshachoka lawama zangu, je waliojiunga wakati anaingia madarakani na sijawahi kumsifia wafanyeje? Mtu dhalimu hawezi kusifiwa, akiwa hai au akiwa motoni, haya ndio malipo ya udhalimu, hutaki kunywa sumu hapo pembeni ya kaburi ukiwa lindo.
[/QU haha!mkuu,hata miez miwil haijaisha uvumilivu umemshindaa,jee cc ambao tulianza kufanya usafi huku baada ya melo kukabidhi hik chumba tusemeje?
 
Unaiba ndala unatoka unaiba kuku umeachwa tu ukatoka Apo ukafunya nyumba unaenda kuwa jambaz wa kuteka na kutumia silaha ..Sasa samaki mkunje angali mbichi ....wiz imekidhiri Sana Sasa hv mm hapa Nisha ibiwa status ya scania na betteri jumla laki Tisa zote mm natoa wapi wezi wajitadhimini
 
Mbona unapenda sana kujisahaulisha.

Huu ndio upuuzi wako unapoanzia. Wewe ulikuwa huambiwi kitu kuhusu huyo mtu unayemkana hapa sasa hivi.
Sawa, nakujua jinsi ulivyombumbumbu.sioni sababu ye wewe kutokubali ukweli.
 
Kawaulize CCM


 
Kawaulize CCM


Jikite kwenye mada we bwege
 
Mbaya zaidi polisi wanamlinda aliyesababisha mauaji. Kwa utaratibu wa kawaida baada ya wananchi kulalamika kwamba chanzo cha kifo kimetokana na kupigwa na mtu au watu fulani, tulitegemea kuwa mwili huo haungalizikwa hadi postmortam examination ifanyike hospitalini na watuhumiwa kufunguliwa jalada la upelelezi wa polisi.

Cha ajabu polisi wanalazimisha kuzika kithibiti hicho cha suspected murder case. Haki ya kuishi ndiyo haki kuu kuliko haki zote zilizoko kwenye katiba yetu na katiba za nchi zote duniani.

Huko Mwanza haki hiyo imekuwa ikiporwa wazi wazi. Mtu anatuhumiwa kaiba ndala akifikishwa kwenye serikali ya mtaa, mwenyekiti wa mtaa anamuua na polisi wanampa support.
Hakuna kuweka watu mahabusu bila ushahidi- na nina hakika ukiitwa kwenda kutoa ushahidi huendi kwa sababu hukuwepo. acha uongo
 
Back
Top Bottom