Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 768
- 1,959
HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amewaonya viongozi wa dini na jumuiya za kijamii, kuepuka kutoa
matamko ya kisiasa yenye lengo la kuhamisha na kuelekeza waumini kumchagua mgombea au chama fulani "watakaoshindwa kuzingatia masharti, wizara haitasita kuifuta."
matamko ya kisiasa yenye lengo la kuhamisha na kuelekeza waumini kumchagua mgombea au chama fulani "watakaoshindwa kuzingatia masharti, wizara haitasita kuifuta."