Ibanda1
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 705
- 1,092
poa umesikika bavicha na pumba zako
kwa kuwa alimnadi kwa sifa kedekede ko asimtengue hata anapoharibu maadili ya kazi,unatuambia hata marais walopita walikuwa wanashtua una uhakika?? weka ushahid af ukumbuke hii awamu sio kama ile sawa???
yan wabongo pasua kichwa asingemchukulia hatua mngebwabwaja leo kamchukulia hatua mnaropoka hovyo...
kwa kuwa alimnadi kwa sifa kedekede ko asimtengue hata anapoharibu maadili ya kazi,unatuambia hata marais walopita walikuwa wanashtua una uhakika?? weka ushahid af ukumbuke hii awamu sio kama ile sawa???
yan wabongo pasua kichwa asingemchukulia hatua mngebwabwaja leo kamchukulia hatua mnaropoka hovyo...