Kama inaweza songa unga wa ngano kwann isisonge wa mahindi.Mkuu mimi nilidhani umeisha ijaribu kuitumia kusonga ugali wa mahindi ama muhogo, yaani unauzoefu na matumizi ya mashine hiyo. Kama bado hujaitumia basi wazo langu bado lina thamani, hivyo wanajukwaa waniunge mkono.
Kampuni kubwa haisongi ngano kwa mikono