Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Leo gazeti la Mwananchi leo limeandika kuwa Waziri wa Ndani Shamsi vuai Nahodha kawaagiza polisi kumhoji Mbunge wa Tabora Mjini, Aden Rage kuhusiana na tuikio lake la kubeba bastola kiunoni Igunga wakati akihutubia mkutano wa CCM wa kampeni.
Jee hili si thibitisho tosha la kile kinachodaiwa kila mara, hasa na Chadema, kwamba Polisi hupata maagizi kuhusiana na kazi zao kutoka kwa wanasiasa, hasa katika shughuli za kisiasa kama vile kampeni?
Jamani, kuna ushahidi mwingine zaidi ya agizo hili la waziri kwa polisi? Kwani polisi si wako kibao Igunga, hawakuliona hili tukio. Jee ingekuwa ni Tundu Lissu ndiye alibeba silaha katika mkutano wa Chadema, saa hizi si angekuwa tayari lupango?
Jee hili si thibitisho tosha la kile kinachodaiwa kila mara, hasa na Chadema, kwamba Polisi hupata maagizi kuhusiana na kazi zao kutoka kwa wanasiasa, hasa katika shughuli za kisiasa kama vile kampeni?
Jamani, kuna ushahidi mwingine zaidi ya agizo hili la waziri kwa polisi? Kwani polisi si wako kibao Igunga, hawakuliona hili tukio. Jee ingekuwa ni Tundu Lissu ndiye alibeba silaha katika mkutano wa Chadema, saa hizi si angekuwa tayari lupango?