Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Tuna Mambo ya Kujifunza waziri wa Maliasili na Utalii anatibiwa MNH hospital ambayo Mbowe Mara baada ya Kupanga shambulio la Kutaka kumuua Lissu alipodai uchaguzi ndani ya Chama waliikataa na kuona haina Viwango huku wakililia Medical Billl ilipwe na Serikali hapa kwa Watanzania tuna la Kujifunza.