makwagejo
JF-Expert Member
- Nov 25, 2019
- 361
- 267
Habari ndugu Waziri wa Madini tunaomba kujua mrahaba wa madini inaokatwa kwa ajili ya wamiliki wa mashamba una utata.
Kuna watu wanauchukua mrahaba wa shamba Kakola, swali wamiliki wa mashamba hayo hawakulipwa fidia maana inasemekana mzungu alilipa fidia ya maeneo.
Tunamuomba Rais na wasaidizi wake wachunguze mrahaba wa mashamba unaenda serikalini au kwa watu binafsi maana mzungu alinyang'anywa hayo maeneo aliyokuwa anamiliki, je yanamilikiwa na nani?
Serikali iwaelimishe wananchi juu ya jambo hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanauchukua mrahaba wa shamba Kakola, swali wamiliki wa mashamba hayo hawakulipwa fidia maana inasemekana mzungu alilipa fidia ya maeneo.
Tunamuomba Rais na wasaidizi wake wachunguze mrahaba wa mashamba unaenda serikalini au kwa watu binafsi maana mzungu alinyang'anywa hayo maeneo aliyokuwa anamiliki, je yanamilikiwa na nani?
Serikali iwaelimishe wananchi juu ya jambo hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app