tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,670
- 19,183
Hiyo wizara imejaa wajinga,sasa hivi huku mererani kutoka nje ya ukuta ni kudhalilishana tu,mtu anaambiwa ashushe suruali na boxer halafu uchuchumae hapo mnakua watu kumi...then mnaanza kusachiwa hii wizara imejaza wapumbavu tuDoto Biteko tulisema hawezi hiyo wizara, apewe Naibu wake prof. Manya aliyesoma madini. Hiki kijamaa ni mwalimu kapewa wizara ya madini,kisa ni mpwa wa mwendazake