Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,495
- 9,275
Waziri wa Madini Dotto Biteko, amemvua madaraka Mwenyekiti wa Soko la Madini Chunya, na kuwasimamisha kazi wafanyakazi watatu huku pia akifuta leseni za wachimbaji mbalimbali ambao wamevunja taratibu
Sababu imeelezwa kuwa ni utoroshwaji wa madinI uliokuwa ukifanyika
Sababu imeelezwa kuwa ni utoroshwaji wa madinI uliokuwa ukifanyika