ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,078
- 12,948
kwani hadi useme direkti?Ni wapi umenisoma nikisema hayo uliyoandika?
kwani hadi useme direkti?Ni wapi umenisoma nikisema hayo uliyoandika?
Mbona nimekwishajieleza vizuri tu kwa kirefu hapa hapa mkuu ki2c, kuhusu uamini wangu juu ya swala hili?kwani hadi useme direkti?
Ni bora umeishia na hiyo Mhhh!
Lakini pia, nakumbuka serekali ya Tanzania ilipiga marufuku uuzaji wa mahindi nje ya nchi.Ndio mkumbuke mlivyouwa wale vifaranga wao pale Namanga.
Tuna viongozi wa hovyo sn wacha tupigwe kisawasawaNdio mkumbuke mlivyouwa wale vifaranga wao pale Namanga.
Ulitaka iweje???Ndio mkumbuke mlivyouwa wale vifaranga wao pale Namanga.
Wangezuia wasiingizwe nchini warudi walipotokaUlitaka iweje???