Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Yaani mtu (waziri) mgeni Wizarani asiporidhishwa tu na "mwenendo wako wa kazi" japo amekuona kwa mwezi mmoja, anakusimamisha kazi. Tutapona kweli na huu ulimbukeni wa madaraka?!
Mbona bodi zipo nyingi tu? Kuna Bodi ya nyama, ipo ya maziwa, ya pamba, ya chai, ya korosho, ya kahawaBodi ya sukari inafanya kazi gani? Bodi ya chumvi je, maharage, mchele
Arejeshwe kwa mwajiri wake akaendelee na utendaji wake usioridhisha? Can we clearly point out his weaknesses public imhukumu?Mara asimamishwe kazi Mara arejeshwe kwa Muajiri wake wa awali apangiwe kazi nyingine,
WEWE NI WA KUTOKEA KANDA PENDWA?Ninaimani msimu huu wa Magu hata wakina sie tunaoitwa wanyonge twaweza kupata wadhifa mkubwa serikalini maana sio kwa kutumbua tumbua huku
Huwezi kuelewa yote.Haueleweki mkuu
kwa watumishi sio watu wa maanaAnaacha kusimamisha 'kitu ya maana" anasimamisha mtumishi
KWA HIYO AACHWE TU NA HUKU KASHINDWA KAZI? SUKARI KILO MPAKA 5000 HASEMI LOLOTE KIMYA!! AONDOKE HATA UTOA ONYO KWA WANAOUZA BEI HIYO HAKUNA AU HAWEZI SASA WA NINI? HATA KUFUATILIA SABABU YA KUPANDA HAFANYI NI KUKALIA UKURUGENZI TU.SUKAARI ZIKO MA GODOWN ZIMEFUNGIWA ILI BEI IWE YA KURUKA. ANAYEPEWA HIYO NAFASI AJUE LA KUFANYA ILI SUKARI ITOKE? HIKI NI KIPINDI CHA UZALISHAJI VIWANDANI VIPI BEI IWE JUU?Ninamkumbuka mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo sasa yametimia
Ndani ya system kuna raha kweli, ukila ukijulikana unahamishiwa sehemu nyingine gizani na unaambiwa kula polepole angalia usijulikane.basi poa atapangiwa new job
Unakulaje polepole wakati ushaondolewa kwenye post yako na kuwa desk officer Wizarani?Ndani ya system kuna raha kweli, ukila ukijulikana unahamishiwa sehemu nyingine gizani na unaambiwa kula polepole angalia usijulikane.
Una maana baraza la mawaziri?Huyu Kingunge unayemsema hapa ni mdogo wake wa "aliyegawa nyumba za serikali"
Hapana Mkuu.Una maana baraza la mawaziri?
Jidanganye hvyohvyoooNinaimani msimu huu wa Magu hata wakina sie tunaoitwa wanyonge twaweza kupata wadhifa mkubwa serikalini maana sio kwa kutumbua tumbua huku