Omuzirambogo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 685
- 750
Kumeibuka janga la waajiri kuitisha interview hewa na kuwataka wanaoomba kazi kulipa pesa ili waitwe kwenye interview. Mfano mzuri ni Happy English Medium iliyopo mkoa wa Kagera na Ndagara Secondary School. Wanatosa pesa kwa ajili ya interview hata kama hawana uhitaji. Je, hili ni sahihi?