Ikikupendeza Mh. Ndalichako tafadhali sana hebu kairejeshe sheria iliyoanzisha kikokotoo kwa wastaafu bungeni ili ifutiliwe mbali kwani ipo kinyume na haki za binadamu na ni kinyume cha katiba ya jamhuri ya Tanzania.
Jenga legacy kwenye wizara hii kwa kuifuta sheria hiyo kandamizi kwa wastaafu kama uliyoitendea haki wizara ya elimu.
Uzuri mmoja na faida kwako ni kuwa na naibu waziri katambi ambaye ni mwanasheria atakusaidia kukushauri juu ya ubatili wa sheria ya kikokotoo kwa wastaafu ili uharakishe kuipeleka bungeni kuifuta!
Nakutakia ufutaji mwema wa hiyo sheria.
Jenga legacy kwenye wizara hii kwa kuifuta sheria hiyo kandamizi kwa wastaafu kama uliyoitendea haki wizara ya elimu.
Uzuri mmoja na faida kwako ni kuwa na naibu waziri katambi ambaye ni mwanasheria atakusaidia kukushauri juu ya ubatili wa sheria ya kikokotoo kwa wastaafu ili uharakishe kuipeleka bungeni kuifuta!
Nakutakia ufutaji mwema wa hiyo sheria.