habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 456
Akiendelea kuwasilisha makadirio ya hotuba ya wizara ya kazi na ajira bungeni hivi sasa, waziri wa kazi na ajira GAUDENSIA KABAKA, amesema kuwa mshahara kwa watumishi/wafanyakazi wa sekta mbalimbali hapa nchini umepanda hususan kima cha chini.
Amezitaja kada ambazo kima cha chini kimepanda pamoja na mshahara kwa asilimia kuwa ni wafanyakazi wa viwandani, migodini, wafanyakazi wa ndani, mahotelini, sekta zote za utumishi wa umma kwa maana ya watumishi wa serikali na taasisi zake na wafanyakazi wa sekta zote binafsi.
Ametaja asilimia kwa sekta binafsi kuwa imeongezeka kwa aslimia 24, watumishi wa ndani,mahotelinin na kada ya uhudumu kwa ujumla aslimia 55 na watumishi wa umma asilimia 25.
ANAENDELEA KUWASILISHA
Amezitaja kada ambazo kima cha chini kimepanda pamoja na mshahara kwa asilimia kuwa ni wafanyakazi wa viwandani, migodini, wafanyakazi wa ndani, mahotelini, sekta zote za utumishi wa umma kwa maana ya watumishi wa serikali na taasisi zake na wafanyakazi wa sekta zote binafsi.
Ametaja asilimia kwa sekta binafsi kuwa imeongezeka kwa aslimia 24, watumishi wa ndani,mahotelinin na kada ya uhudumu kwa ujumla aslimia 55 na watumishi wa umma asilimia 25.
ANAENDELEA KUWASILISHA