Atamuogopa vipi wakati kaingia kwa mfumo wa kishenzi, mwalimu wa primary sijui mwenye diploma kuwa waziri mdogo wa elimu hivi mmeiona wapi na wale ma profesor wote waliojaa vyuo vyote vikiwemo vya elimu.
Sababu tu ni mdogo wa Salma Kikwetu na mjomba wa damu wa Ridhiwani, wameichafua kabisa nchi hii halafu wanafungua midomo, huyo katibu kata mtararajiwa anajua kuwa kasoma kihalali kuliko hicho kituko cha wakina salma, hatudanganyiki mtapata tabu sana kutawala, nchi haitawaliki safisheni uchafu wote waje wanaume wenye akili watufundishe ethics,
Sababu tu ni mdogo wa Salma Kikwetu na mjomba wa damu wa Ridhiwani, wameichafua kabisa nchi hii halafu wanafungua midomo, huyo katibu kata mtararajiwa anajua kuwa kasoma kihalali kuliko hicho kituko cha wakina salma, hatudanganyiki mtapata tabu sana kutawala, nchi haitawaliki safisheni uchafu wote waje wanaume wenye akili watufundishe ethics,