Waziri wa JK ahenyeshwa na Mratibu wa Kata

Atamuogopa vipi wakati kaingia kwa mfumo wa kishenzi, mwalimu wa primary sijui mwenye diploma kuwa waziri mdogo wa elimu hivi mmeiona wapi na wale ma profesor wote waliojaa vyuo vyote vikiwemo vya elimu.

Sababu tu ni mdogo wa Salma Kikwetu na mjomba wa damu wa Ridhiwani, wameichafua kabisa nchi hii halafu wanafungua midomo, huyo katibu kata mtararajiwa anajua kuwa kasoma kihalali kuliko hicho kituko cha wakina salma, hatudanganyiki mtapata tabu sana kutawala, nchi haitawaliki safisheni uchafu wote waje wanaume wenye akili watufundishe ethics,
 
Mbona Mraia Nagu, na wengine wanagombea UNEC na nafasi nyingine za kisiasa huko CCM? Tungependa wawazuie na hao!
 
Namfahamu Mr Ulanga,huwezi mtenganisha na siasa,iko damuni.Hata pale Kigwe alikuwa akifanya siasa na uratibu at a time.Lakini kama asemavyo ni haki yake kikatiba

vipi kama angekuwa anafanya uratibu huku anafanya siasa akiwa CDM, bado angekuwa ana kazi ya uratibu au tungeshamsahau kwenye utumishi serikalini?
 
  • Thanks
Reactions: SG8
vipi kama angekuwa anafanya uratibu huku anafanya siasa akiwa CDM, bado angekuwa ana kazi ya uratibu au tungeshamsahau kwenye utumishi serikalini?
Angekuwa ameshatimuliwa zamani, tena bila kufuata taratibu
 
Concept nzuri, utawezaje kuwa mhudumu wa kata isio na itikadi ya chama chochote huku ukiwa ni Mwenyekiti wa chama hicho. Niko kwa upande wa waziri kwa hili.
 
atamuogopa vipi wakati kaingia kwa mfumo wa kishenzi, mwalimu wa primary sijui mwenye diploma kuwa waziri mdogo wa elimu hivi mmeiona wapi na wale ma profesor wote waliojaa vyuo vyote vikiwemo vya elimu, sababu tu ni mdogo wa Salma Kikwetu na mjomba wa damu wa Ridhani, wameichafua kabisa nchi hii halafu wanafungua midogom, huyo katibu kata mtararajiwa anajua kkuwa kasoma kihalali kuliko hicho kituko cha wakina salma, hatudanganyiki mtapata tabu sana kutawala, nchi haitawaliki safisheni uchafu wote waje wanaume wenye akili watufundishe ethics,

una hakika na maneno yako au unabahatisha?sasa kama hujui ngoja nikuambie kuwa mheshimiwa ana degree ya UDSM! na alishakuwa katibu wa chama cha walimu ngazi ya wilaya,ikiwemo singida!JF tujifunze kuongea na kuandika ukweli!
 
ni dalili pia ya kupotea kwa heshima ya watendaji wadogo kwa mabosi wao wateule wa JK

ofisi nyingi za serikali huwezi kujua nani bosi na nani ni mhudumu.madhara ya kukulia katika siasa za ujamaa.kwakuwa anagombea uongozi ccm basi anaona hawezi kufanywa chochote.KAZI KWA MKURUGENZI WAKE,FUKUZA KAZI TU NO MORE.
 
ofisi nyingi za serikali huwezi kujua nani bosi na nani ni mhudumu.madhara ya kukulia katika siasa za ujamaa.kwakuwa anagombea uongozi ccm basi anaona hawezi kufanywa chochote.KAZI KWA MKURUGENZI WAKE,FUKUZA KAZI TU NO MORE.

ni kama nyumba ya kambare, kila mmoja ana sharubu kuanzia baba, mama hadi mtoto
 
Mtumishi wa umma huruhusiwi kugombea ya nafasi ya kisiasa ambayo ni ya ofisini lakini ni haki ya kila mtumishi wa umma kugombea nafasi kama za ujumbe katika chama anachokipenda. Mfano mzuri ni Mkumbo pamoja na Ballegu enzi za UDSM.
 
mkuu, kwahiyo mratibu yuko sahihi kulazimisha kugombea?

Jamaa amewapa changamoto ya ukweli ambao uko wazi lakini wao hawataki kuuona. Watu kila siku wanapiga kelele kuhusu mlundikano wa vyeo vingi kwa mtu mmoja, tukianzia na mr President mwenyewe. Kama wanaona mratibu wa elimu hawezi kugombea nafasi ya chama kwenye kata, kwanini hawafikiri vivyo hivyo kwa mr President?? Je rais ameweza kumudu urais na uenyekiti kwa wakati mmoja? Kama ameweza, huyu mratibu atashindwaje, kama ameshindwa, mbona hawamyang'anyi kimoja?

His argument makes perfect sense, that's all I was saying.
 
Jamaa amewapa changamoto ya ukweli ambao uko wazi lakini wao hawataki kuuona. Watu kila siku wanapiga kelele kuhusu mlundikano wa vyeo vingi kwa mtu mmoja, tukianzia na mr President mwenyewe. Kama wanaona mratibu wa elimu hawezi kugombea nafasi ya chama kwenye kata, kwanini hawafikiri vivyo hivyo kwa mr President?? Je rais ameweza kumudu urais na uenyekiti kwa wakati mmoja? Kama ameweza, huyu mratibu atashindwaje, kama ameshindwa, mbona hawamyang'anyi kimoja?

His argument makes perfect sense, that's all I was saying.

Mkuu kama ungepitia posts zote hapo juu usingeandika hivi. Hakuna changamoto hapo,huyo mratibu ni mbumbumbu wa sheria za utumishi wa umma! Kikwete alikua mwajiriwa wa JWTZ,baada ya Vyama vingi ilibidi achague kuwa aidha mwanasiasa ama abakie mtumishi wa umma jeshini,alichagua kuwa mwanasiasa!
 
Mkuu kama ungepitia posts zote hapo juu usingeandika hivi. Hakuna changamoto hapo,huyo mratibu ni mbumbumbu wa sheria za utumishi wa umma! Kikwete alikua mwajiriwa wa JWTZ,baada ya Vyama vingi ilibidi achague kuwa aidha mwanasiasa ama abakie mtumishi wa umma jeshini,alichagua kuwa mwanasiasa!

Sasa mjadala wote ni wa nini? Kama sheria zinamkataza, wamwache afanye then sheria zichukue mkondo wake.
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na miongozo mbalimbali kwenye Utumishi wa Umma ikiwa ni pamoja na Standing Orders for Public Service ya mwaka 2009 Mtumishi wa Umma haruhusiwi kushika nafasi yoyote ya Kisiasa ama kwa kuchaguliwa kuteuliwa lakini anaruhusiwa kushiriki shughuli za vyama vya siasa ikiwa ni pamoja na mikutano. Kwa mara ya kwanza nampongeza Majaliwa kwa kusimamia ukweli hasa kwa kuwa hiyo nafasi ya Kata haina athari yoyote kwa Majaliwa. Wana JF tujifunze kusoma sheria za nchi badala ya kushabikia vitu ambavyo ukweli uko wazi. Hii ndio iliyomtoa Prof Baregu pale Mlimani na wengi humu tulilalamika kwamba ameonewa, sasa huyu ni Mwana CCM tumpongeze Waziri na Tumwambie aendelee kuwaondoa wana CCM wote waliopo kwenye Utumishi wa Umma na wana madaraka kwenye Chama. Wote tunakumbuka kwamba alipoteuliwa kugombea Uenyekiti wa UVCCM Masauni Hamad Masauni alilazimika kuacha kazi Wizara ya nishati na madini na hata yule Kashindye wa Chadema Igunga aliacha kazi tyake ya Afisa Elimu (W). Huyo Mratibu kama mnampenda mwambienni atapaoteza kazi na maslahi yake kijinga kazi ya kujifanya kushinda na sheria
Kaka funguka zaidi kuhusu JK kuwa rais huku ni mwenyekiti wa chama
 
Kaka funguka zaidi kuhusu JK kuwa rais huku ni mwenyekiti wa chama
Hizo zote ni Political Posts, hakuna aliyoajiriwa kama Mtumishi wa Umma (kwa maana ya kufuata mchakato wa ajira kama ilivyo kwa huyo MEK ambaye ni Mwalimu huku anataka siasa. Suala la JK nadhani litatatuliwa kikatiba zaidi...Jitahidi upeleke maoni kwenye Tume ya Warioba kwamba Katiba ijayo itenganishe Urais na Uenyekiti wa Chama, Ubunge na Uwaziri, Uspika na Ujumbe wa CC, n.k
 
Back
Top Bottom