Waziri wa JK ahenyeshwa na Mratibu wa Kata

Mbona wote tumewaona wakigombea na huku bado ni watumishi. Angalia wahadhiri wengi wa serikali na huku wana nafasi za chama. Au tunaomba maana ya mtumishi wa umma
 
That's what I was thinking before. Lakini if that being he case, how comes mtendaji wa chini kimajukumu anapata nguvu za kubishana na waziri wake kuhusu jambo lililo wazi na kuonyesha kama waziri kasalimu amri? ni sababu yuko CCM? ni sababu ya udhaifu wa watendaji kutokujua taratibu? au ni tatizo la mfumo mzima kuparaganyika?
Mbona wakuu wa mikoa na wilaya ni makada, na nafasi hizo ni za chama lakini wanalipwa na serikali. Hizi sheria ziko kiudanganyifu zaidi. Tuzishughulikie katika katiba mpya.
 
Mbona wakuu wa mikoa na wilaya ni makada, na nafasi hizo ni za chama lakini wanalipwa na serikali. Hizi sheria ziko kiudanganyifu zaidi. Tuzishughulikie katika katiba mpya.

something must be wrong somewhere, mie nadhani taratibu haziko wazi na hazieleweki vema
 
That's what I was thinking before. Lakini if that being he case, how comes mtendaji wa chini kimajukumu anapata nguvu za kubishana na waziri wake kuhusu jambo lililo wazi na kuonyesha kama waziri kasalimu amri? ni sababu yuko CCM? ni sababu ya udhaifu wa watendaji kutokujua taratibu? au ni tatizo la mfumo mzima kuparaganyika?
Tatizo ni Waziri hana mamlaka ya kumuwajibisha. Anatakiwa ampe ushauri akikaidi Mwajiri wake (DED) amshtaki kwenye mamlaka ya Nidhamu (Tume ya Utumishi wa Walimu). Atakuwa anapata jeuri toka kwa viongozi wa CCM wa Wilaya au kama anasapoti ya Mbunge si unajua watu ndio wanapanga safu zao za kuwalinda 2015?
 
Mbona wakuu wa mikoa na wilaya ni makada, na nafasi hizo ni za chama lakini wanalipwa na serikali. Hizi sheria ziko kiudanganyifu zaidi. Tuzishughulikie katika katiba mpya.
Tupatie mfano mmojawapo Mkuu. Ndio maana nimesema tumshinike Waziri awazuie na makada wengine (tunajua wapo) waachie vyeo vya kisiasa au la waachane na Utumishi wa Umma.
 
Mbona wakuu wa mikoa na wilaya ni makada, na nafasi hizo ni za chama lakini wanalipwa na serikali. Hizi sheria ziko kiudanganyifu zaidi. Tuzishughulikie katika katiba mpya.
Wakuu wa Wilaya na Mikoa hawaajiriwi na kwa nature ya kazi zao ni Political Posta zaidi ndio maana kigezo ni kuwa Kada Mwaminifu. Lakini Katibu Tawala wa Wilaya na Mikoa (DAS na RAS) hawa ni Watumishi walioajiriwa. Ingawa ni kweli pia kwamba kuna utata kidogo kuhusu nafasi za wakuu wa Mikoa na Wilaya. Ndio maana kwenye katiba mpya jambo kubwa sana linalotakiwa kushikiwa bango ni hizi post za Wakuu wa Wilaya na Mikoa, zifutwe
 
Tatizo ni Waziri hana mamlaka ya kumuwajibisha. Anatakiwa ampe ushauri akikaidi Mwajiri wake (DED) amshtaki kwenye mamlaka ya Nidhamu (Tume ya Utumishi wa Walimu). Atakuwa anapata jeuri toka kwa viongozi wa CCM wa Wilaya au kama anasapoti ya Mbunge si unajua watu ndio wanapanga safu zao za kuwalinda 2015?
Gerrard nakubaliana nawe
 
Last edited by a moderator:
mkuu, kwahiyo mratibu yuko sahihi kulazimisha kugombea?

Kimaadili, mratibu hakutakiwa kugombea nafasi hiyo kwa sababu hawezi kutenda haki kwa wasio wa itikadi yake kama mratibu.
Lakini hoja yake ni ya msingi sana, kwamba kama Rais ameweza kuwa kiongozi wa nchi na wakati huo huo ni kiongozi mkuu wa chama kinachotawala Tz, kwa nini yeye ionekane haiwezekani!!??
Ila madhara ya Rais kuendelea kuwa kiongozi mkuu wa chama chake kwa TZ yanaonekana, hususan anaposhindwa kukosolewa hata ndani ya chama chake katika vikao. Daima yeye yuko sahihi hata kama sivyo.
 
Kimaadili, mratibu hakutakiwa kugombea nafasi hiyo kwa sababu hawezi kutenda haki kwa wasio wa itikadi yake kama mratibu.
Lakini hoja yake ni ya msingi sana, kwamba kama Rais ameweza kuwa kiongozi wa nchi na wakati huo huo ni kiongozi mkuu wa chama kinachotawala Tz, kwa nini yeye ionekane haiwezekani!!??
Ila madhara ya Rais kuendelea kuwa kiongozi mkuu wa chama chake kwa TZ yanaonekana, hususan anaposhindwa kukosolewa hata ndani ya chama chake katika vikao. Daima yeye yuko sahihi hata kama sivyo.

tukumbuke tu kuwa urais na uenyekiti wa chama zote ni nafasi za kuchaguliwa kwa kura, uratibu wa kata ni utendaji katika utumishi wa umma na sio nafasi ya kuchaguliwa kama uenyekiti wa CCM anaoutaka sasa
 
Kimaadili, mratibu hakutakiwa kugombea nafasi hiyo kwa sababu hawezi kutenda haki kwa wasio wa itikadi yake kama mratibu.
Lakini hoja yake ni ya msingi sana, kwamba kama Rais ameweza kuwa kiongozi wa nchi na wakati huo huo ni kiongozi mkuu wa chama kinachotawala Tz, kwa nini yeye ionekane haiwezekani!!??
Ila madhara ya Rais kuendelea kuwa kiongozi mkuu wa chama chake kwa TZ yanaonekana, hususan anaposhindwa kukosolewa hata ndani ya chama chake katika vikao. Daima yeye yuko sahihi hata kama sivyo.
Muwe mnatofautisha.... JK hakuajiriwa alichaguliwa kupitia CCM. Hoja hii inafaa kwenye mijadala mingine sio kwa huyu Mratibu wa Elimu Kata ambaye anafundisha darasani anawasimamia Walimu na Mkataba wake ni Permanent and Pensionable na hata mkataba wake wa jaira aliosaini uko very clear kuhusu ushiriki wake kwenye siasa.. Huyu akabiliwa na adhabu tu wala hii hoja ya JK haiwezi kumuokoa hata kidogo. Kwanza kuanzia itabidi wamnyang'anye Uratibu ili awe Mwalimu wa Shule ya Msingi halafu apewe hati ya mashtaka kwa kukiuka maadili ya Utumishi wa Umma. Bahati yake hayupo kwenye himaya yangu huyu ningekunjua makucha mpaka ajute
 
tukumbuke tu kuwa urais na uenyekiti wa chama zote ni nafasi za kuchaguliwa kwa kura, uratibu wa kata ni utendaji katika utumishi wa umma na sio nafasi ya kuchaguliwa kama uenyekiti wa CCM anaoutaka sasa
Kweli kabisa Mkuu Mwana Mpotevu. Ngoja nitafute Standing Order toleo la 2009 niletee nukuu hapa
 
Last edited by a moderator:
Kwani uwaziri sio kazi ya kila siku au ukuu wa mkoa na wilaya sio kazi ya kila siku. Sasa mbona wabunge ni mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya. Aaache kumwonea katibu elimu kata wa watu
 
Kwani uwaziri sio kazi ya kila siku au ukuu wa mkoa na wilaya sio kazi ya kila siku. Sasa mbona wabunge ni mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya. Aaache kumwonea katibu elimu kata wa watu

duh kazi ipo, nadhani itabidi tuanzishe somo la katiba na kanuni za utumishi wa umma humu jamvini
 
Muwe mnatofautisha.... JK hakuajiriwa alichaguliwa kupitia CCM. Hoja hii inafaa kwenye mijadala mingine sio kwa huyu Mratibu wa Elimu Kata ambaye anafundisha darasani anawasimamia Walimu na Mkataba wake ni Permanent and Pensionable na hata mkataba wake wa jaira aliosaini uko very clear kuhusu ushiriki wake kwenye siasa.. Huyu akabiliwa na adhabu tu wala hii hoja ya JK haiwezi kumuokoa hata kidogo. Kwanza kuanzia itabidi wamnyang'anye Uratibu ili awe Mwalimu wa Shule ya Msingi halafu apewe hati ya mashtaka kwa kukiuka maadili ya Utumishi wa Umma. Bahati yake hayupo kwenye himaya yangu huyu ningekunjua makucha mpaka ajute

huwa hatuzunguki mbuyu, huyu mratibu ninampa hongera,
tunatakiwa kutohoa kwa usahihi ili hatimaye tuwe na hukumu ya kunukuu, nafasi ya kisiasa kwa mtumishi wa umma haibagui namna unavyoipata i.e kuteuliwa ama kuchaguliwa, hata jk achague moja uenyekiti ama urais. Kama kwa jk haiwezekani mwacheni mratibu agombee. "Naipenda tabia ya msumeno"
 
That's what I was thinking before. Lakini if that being he case, how comes mtendaji wa chini kimajukumu anapata nguvu za kubishana na waziri wake kuhusu jambo lililo wazi na kuonyesha kama waziri kasalimu amri? ni sababu yuko CCM? ni sababu ya udhaifu wa watendaji kutokujua taratibu? au ni tatizo la mfumo mzima kuparaganyika?

Tatizo liko kwenye mfumo kuwa na double standards!! Leo hii ccm wanasema ubunge ni full time job hivyo wabunge hawawezi kuwa wajumbe wa NEC ya ccm at the same time wanasema cc ya ccm inaweza kutoa ruhusa maalum kwa mbunge kuwa mjumbe wa NEC ya ccm!! Here you have incosistency in decision making na hiyo ndiyo tatizo la JK na genege lake!! Maamuzi yanategemea sura ya mtu na sio kanuni na taratibu zilizowekwa.
 
utakuwa umesaidia wengi sana, do it pls
Ni hii hapa Mkuu.
PARTICIPATION IN POLITICS
F.20 Public Servants who are not allowed to participate in politics

(1) For the purpose of these standing orders, the public servants are hereby notified that the following services are not allowed to participate in politics:
(a) Tanzania People's Defence Forces and National Service;
(b) Tanzania Intelligent and Security Services;
(c) Police Force Service;
(d) Prison Service;
(e) Immigration Service;
(f) Fire and Rescue service and
(g) Militia Service.

(2) The following groups of Public servants are also not allowed to participate in politics
(a) employees of the Prevention and Combating of Corruption Bureau
(b) employees of the office of parliament
(c) employees of the Registrar of Political Parties Office;
(d) employees and members of the National Electoral Commission and Returning Officers
(e) State Attorneys; and
(f) Judges and all Magistrates.

F.21 Participation of Other Public Servants in Politics
Notwithstanding the provisions of standing Orders F.20, other Public Servants shall be allowed to participate in politics with the following restrictions:
(a) a public servant shall not be employed or hold office in any political party while still in the public service
(b) a public servant shall not be allowed to participate in political activities during working hours;
(c) a public servant shall not identify himself by dressing in his political party's uniforms, medals, badges or any other identification during working hours and at a place of work;
(d) Public servant shall not be allowed to utter any words which may embarrass the Government due to his political affiliation;
(e) a public servant shall be neutral and impartial while delivering service to the public without any bids due to the political affiliation;
(f) a public servant shall not take part in political activities which can compromise or be seen to compromise his loyalty to Government activities;
(g) a public servant shall not express his views or comments in the Political meetings he participates after working hours; and
(h) a public servants shall not pass information or documents availed through his position in the service to his political party or any other political party.

NB: "Politics" as used in this standing Orders means dealing in any matters relating to political parties, excluding voting in general election.

Haya wakuu hiyo hapo. Mkitaka nitawaletea extract ya Maadili ya Utumishi wa Umma na Sheri no. 8 ya mwaka 2002 (kama ilivyorekebishwa kwa sheria na 18 mwaka 2007) pamoja Kanuni zake za mwaka 2003 zinavyosema kuhusu Ushiriki wa Mtumishi wa Umma....(Msisitizo..Mtumishi wa Umma) sio Mwanasiasa kama Mkuu wa Wilaya, Mkoa au Rais ama waziri



 
Back
Top Bottom