Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,029
- 8,637
Waziri Mkuu wa nchi ya Israel Benjamin Netanyahu hivi leo anaelekea nchini Urusi kukutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin kujadiri na kumuonya suala la Iran kujaribu kufanya Lebanon kuwa eneo la kutengeneza makombora ya nuclear na aina nyingine.
Aidha Netanyahu amesema anataka kujadiliana na Putin kuhusu juhudi za Urusi kuanzisha uwepo wa kijeshi nchini Syria,aliongeza na kusema kuwa Israel inashutumu vikali ziara za Iran huko Lebanon na kusema Israel itachukuwa hatua dhidi yake.
Swali la kujiuliza
Kwa nini nchi nyingine ikifanya Jambo inchi nyingine haitaki hilo jambo litendeke.
Aidha Netanyahu amesema anataka kujadiliana na Putin kuhusu juhudi za Urusi kuanzisha uwepo wa kijeshi nchini Syria,aliongeza na kusema kuwa Israel inashutumu vikali ziara za Iran huko Lebanon na kusema Israel itachukuwa hatua dhidi yake.
Swali la kujiuliza
Kwa nini nchi nyingine ikifanya Jambo inchi nyingine haitaki hilo jambo litendeke.