Waziri wa habari wa IRAQ-2003

Maswi

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
932
211
Alisema Wamarekani hawatuwezi na tutawachinja sana mwaka huu, huku wamarekani wakipiga mabomu nyuma yake, sasa mtu akisema waasi wa Libya hawajauteka mji mkuu, naikumbukia Iraq 2003.
 
Unauliza, unaripoti, unatoa taarifa, unatoa maoni, unashangaa, unataharuki?
 
natoa maoni
<br />
<br />
kama haya ndiyo maoni jf siyo great thinker. Alichokuwa anakisema yule waziri wa habari iraq ndicho kinachotokea. Ndio maana wamarekani wanatamani kuondoka huku amani bado
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kama haya ndiyo maoni jf siyo great thinker. Alichokuwa anakisema yule waziri wa habari iraq ndicho kinachotokea. Ndio maana wamarekani wanatamani kuondoka huku amani bado
<br />
<br />


Look bwana,dont be dumb, understand that dictors just like our govt here, neiether accept nor understand the peoples's power untill its too late.

Nitaifanya mioyo yao kuwa migumu........kwa sababu ya dhambi zao....ili waangamie.
Tena kwa aibu kuu.

Nguvu ya makundi yao ndiyo inayowezekana na halali, ya wenye nchi haiwezekani na haram!

Madictactor ndivyo walivyo,
 
Alisema Wamarekani hawatuwezi na tutawachinja sana mwaka huu, huku wamarekani wakipiga mabomu nyuma yake, sasa mtu akisema waasi wa Libya hawajauteka mji mkuu, naikumbukia Iraq 2003.
.......

Yaani Umekurupuka kama vile mtu mwenye uharo halafu kabanwa na ushuzi.

Huyo waziri wa habari mwenyewe hata jina kumjuwa humjui mpaka uchungulie Google.

Mama huu sio ukumbi wa watu wenye makamasi kichwani kama wewe.


Haya matope yako next time kayabandike facebook kule mnakochekewa tu na wasiojuwa bee wala chee.
 
Shida iko wapi?
Al-Sahaf alikua akidanganya, na zaidi alikua akichekesha!!
Ndo maana hata baada ya Majeshi ya washirika kuiteka Baghdad walimuacha free tu kwa kukumbuka zile burudani za mikwara yake,
Mtoa mada anamkumbuka bado Al-Sahaf kwa kua bado Ghadaffi na wanae wana ndoto za kuitwaa tena Libya wakati reality maji yako shingoni.
Kama hamjaelewa ombeni muongozo badala ya kumkandia mtoa mada
 
Alisema Wamarekani hawatuwezi na tutawachinja sana mwaka huu, huku wamarekani wakipiga mabomu nyuma yake, sasa mtu akisema waasi wa Libya hawajauteka mji mkuu, naikumbukia Iraq 2003. Umenikumbusha mbali wewe.! Jamaa anaitwa Tareeq Aziz, moja ya mawaziri waliokuwa na mbwembwe enzi za saddam, sijui yuko wapi?
 
Alisema Wamarekani hawatuwezi na tutawachinja sana mwaka huu, huku wamarekani wakipiga mabomu nyuma yake, sasa mtu akisema waasi wa Libya hawajauteka mji mkuu, naikumbukia Iraq 2003. Umenikumbusha mbali wewe.! Jamaa anaitwa Tareeq Aziz, moja ya mawaziri waliokuwa na mbwembwe enzi za saddam, sijui yuko wapi?
<br />
<br />
haitwi Tariq Aziz wewe anaitwa Al Sahaf. Kama hujui kitu uliza ndugu yangu.
 
Alisema Wamarekani hawatuwezi na tutawachinja sana mwaka huu, huku wamarekani wakipiga mabomu nyuma yake, sasa mtu akisema waasi wa Libya hawajauteka mji mkuu, naikumbukia Iraq 2003.

 
Last edited by a moderator:
Alisema Wamarekani hawatuwezi na tutawachinja sana mwaka huu, huku wamarekani wakipiga mabomu nyuma yake, sasa mtu akisema waasi wa Libya hawajauteka mji mkuu, naikumbukia Iraq 2003. Umenikumbusha mbali wewe.! Jamaa anaitwa Tareeq Aziz, moja ya mawaziri waliokuwa na mbwembwe enzi za saddam, sijui yuko wapi?

Mkuu Mchemsho!!
 
" Baghdad will turn to be a big graveyard of American Soldiers"...Al-Sahaf.
 
Alisema Wamarekani hawatuwezi na tutawachinja sana mwaka huu, huku wamarekani wakipiga mabomu nyuma yake, sasa mtu akisema waasi wa Libya hawajauteka mji mkuu, naikumbukia Iraq 2003.
kinyesi.
hivi ni kitu gani kinachokusukuma mpaka unaleta kinyesi kama hiki hapa? sasa tunajadili nini? Iraq yenyewe unayoiongelea in amani gani? kila kukicha watu wanakufa huko Iraq. jana kwenyewe watu wameuliwa. Au wewe ndo furaha yako? au huangalii vyombo vya habari? Afadhali ya Iraq ya Sadam kuliko hii ya kibaraka wa marekani anayeitwa malik. Ama kweli wewe ni zezeta.
 
Alisema Wamarekani hawatuwezi na tutawachinja sana mwaka huu, huku wamarekani wakipiga mabomu nyuma yake, sasa mtu akisema waasi wa Libya hawajauteka mji mkuu, naikumbukia Iraq 2003. Umenikumbusha mbali wewe.! Jamaa anaitwa Tareeq Aziz, moja ya mawaziri waliokuwa na mbwembwe enzi za saddam, sijui yuko wapi?
Tareeq Aziz au kwa jina lake halisi Mikhail Yuhanna alishahukumiwa kunyongwa mwaka jana.
 
.......

Yaani Umekurupuka kama vile mtu mwenye uharo halafu kabanwa na ushuzi.

Huyo waziri wa habari mwenyewe hata jina kumjuwa humjui mpaka uchungulie Google.

Mama huu sio ukumbi wa watu wenye makamasi kichwani kama wewe.


Haya matope yako next time kayabandike facebook kule mnakochekewa tu na wasiojuwa bee wala chee.
Yaani post yako hata Facebook haifai.
 
.......<br />
<br />
Yaani Umekurupuka kama vile mtu mwenye uharo halafu kabanwa na ushuzi.<br />
<br />
Huyo waziri wa habari mwenyewe hata jina kumjuwa humjui mpaka uchungulie Google.<br />
<br />
Mama huu sio ukumbi wa watu wenye makamasi kichwani kama wewe.<br />
<br />
<br />
Haya matope yako next time kayabandike facebook kule mnakochekewa tu na wasiojuwa bee wala chee.
<br />
<br />

Ist the limit of ur thinking being? Amavyi!
 
kinyesi.
hivi ni kitu gani kinachokusukuma mpaka unaleta kinyesi kama hiki hapa? sasa tunajadili nini? Iraq yenyewe unayoiongelea in amani gani? kila kukicha watu wanakufa huko Iraq. jana kwenyewe watu wameuliwa. Au wewe ndo furaha yako? au huangalii vyombo vya habari? Afadhali ya Iraq ya Sadam kuliko hii ya kibaraka wa marekani anayeitwa malik. Ama kweli wewe ni zezeta.

Wewe sasa ndio mtoa kinyesi..........sijui utoto, nini ambacho hukumwelewa jamaa, kumbuka hapa JF kuna watu wa kila aina, wewe unayefikiri una akili sana ungethibitisha hilo kwa kutumia lugha ya upole na hekima sio huo ush..nzi wako ulio post.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom