Pelekeni uchafu wenu hukoooo. Haya ndio mambo yanayowapumbaza vijana wa Tanzania wanakuwa kama mazezeta. Wanasiasa wanafanya wanavyotaka wakati wao wapo wanashabikia vitu visivywasaidia hata kidogo.Serikali na Wcb yamekwisha...
Lazima watz tutambue imefika wakati sasa hivi tz ukimgusa diamond kwa vyovyote jua umeigusa bongo flavour....
So chibu hawezi kushuka not easy hivo....
Si bibi jamaniEti nani?
Muuza karanga maarufu !!! Nasikia anauza na marashiDiamond ndio nani?
Khaaaa....!!Si bibi jamani
Nan huyo??Kaufyata