Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo avikumbusha vyombo vya habari kuwa kutumia uvumi kama habari rasmi ni kukiuka sheria

I cement that kabisaaaa maana watu wamekalia umbea tuuu , oo flani anaumwa ooh flani kafa , turudi kwenye misingi yetu ya zamani ya utu ifike mahali usifurahie mwenzio akipata matatizo hata kama ni kweli. Enzi za mwalimu haikuwa hivi tubadilike
Watawala wa awamu ya tano ndio wametufikisha kwenye hii chuki, hulijui hilo?
 
Mwalimu hakuwa mbinafsi, muuaji, fisadi na alikuwa na utu. Ukiona watu wanasherekea ujue wana maumivu ya siku nyingi miyini. Mfano wizi wa kura, hali ngumu ya maisha nk.
Wacha kuropoka wewe. JPM ubinafsi wake upo wapi? Kamuua nani? Ufisadi gani anao? Mmekalia wivu tu wakati kazi hamuwezi. Hali ngumu inakuhusu wewe.
 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Innocent Bashungwa ametoa wito kwa vyombo vya habari kuendelea kutoa taarifa zinazotolewa kwenye vyanzo rasmi na kuepuka kutumia uvumi/rumours, kwani kitendo hicho ni kukiuka sheria na kitapelekea vyombo hivyo kuwajibika. Waziri Innocent amesema hayo kupitia ukurusa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter.

"Natoa wito kwa wanahabari na wananchi wetu kuendelea na utaratibu wa kupata taarifa kupitia vyanzo rasmi vya habari. Kutumia rumours/uvumi kama habari rasmi ni kukiuka sheria zinazosimamia sekta ya habari. Epukeni kusambaza habari ambazo mtawajibika nazo."

Serekali itakapoacha kufichaficha mambo, uzushi utakoma hapo hapo. Vinginevyo, hakuna namna ni uzushi tu kwa kwenda mbele!!
 
Angetumia nafasi hiyo kukanusha huo uvumi nakueleza ukweli bila hivyo uvumi utaendelea, ile kitu ni kama njaa haina baunza jombaaa!!
Si kila uvuni hujibiwa ila nawasifu nitaani uswahilini ukileta uvumi au umbeya mtaa utafungwa utaletewa hadi ngona ya kukusuta na utapata hadi kipigo cha uhakika huki polisi wakiangalia tu bila kuingilia kati

Ukijitia kuleta uvumi mitaani lazima uhame mtaa ndiyo maana wavumishaji uvumi wote akiwemo Lisu ba Lema walihama mtaa kukimbilia nje ya nchi heko wote mliosababisha watimke mtaani

Ni wakati wa kuwacvamia wavumushaji uvumi wote na kuwapa kipigo cha mbwa koko watafute mtaa mwingine wa kuishi

Majeshi mko wapi ?
 
Serekali itakapoacha kufichaficha mambo, uzushi utakoma hapo hapo. Vinginevyo, hakuna namna ni uzushi tu kwa kwenda mbele!!
Ugonjwa sio tangazo la biashara ni siri kati ya mgonjwa na daktari wewe ukiumwa huwa ubatoa tangazo mtaani kuwa una kipindupindu au ukimwi?
 
Internet raha sana.

"Uvumi" ndio umeenea, na hakuna hata Media house moja responsible.
Kama wamefinya vyombo official vya habari wakiamini watatuacha gizani, imekula kwao...

Wacha tupate habari toka vyanzo visivyo rasmi ambapo impact yake ni wao ku-loose power ya kuvicontrol...

Ndo maana wanawaza ku-limit WhatsApp calls au malaika aje azime mitandao ya kijamii.
 
I cement that kabisaaaa maana watu wamekalia umbea tuuu , oo flani anaumwa ooh flani kafa , turudi kwenye misingi yetu ya zamani ya utu ifike mahali usifurahie mwenzio akipata matatizo hata kama ni kweli. Enzi za mwalimu haikuwa hivi tubadilike
Ukiona mtoto anamuombea baba yake mabaya usimlaumu,anza kuchunguza mapenzi ya baba kwa mwanae,akipandacho mtu ndicho avunacho.
 
Watupe sasa habari rasmi,kama hawatoi nasisi tunaendelea na huohuo uvumi mpaka wimbo wa taifa utakapopigwa
Uongo ukiuachia uenee hugeuka kuwa ukweli. Sasa kuna wengine wamepiga kambi humu kusubiria huo ukweli!!
 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Innocent Bashungwa ametoa wito kwa vyombo vya habari kuendelea kutoa taarifa zinazotolewa kwenye vyanzo rasmi na kuepuka kutumia uvumi/rumours, kwani kitendo hicho ni kukiuka sheria na kitapelekea vyombo hivyo kuwajibika. Waziri Innocent amesema hayo kupitia ukurusa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter.

"Natoa wito kwa wanahabari na wananchi wetu kuendelea na utaratibu wa kupata taarifa kupitia vyanzo rasmi vya habari. Kutumia rumours/uvumi kama habari rasmi ni kukiuka sheria zinazosimamia sekta ya habari. Epukeni kusambaza habari ambazo mtawajibika nazo."

Hivi mbona wewe meza yako ya kazi haina hata penseli! Inamaana unafanyakazi kwa kupitia mitandao! Waziri hatakiwi kushinda mitandao ni ili apate jambo la kulikemea.
 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Innocent Bashungwa ametoa wito kwa vyombo vya habari kuendelea kutoa taarifa zinazotolewa kwenye vyanzo rasmi na kuepuka kutumia uvumi/rumours, kwani kitendo hicho ni kukiuka sheria na kitapelekea vyombo hivyo kuwajibika. Waziri Innocent amesema hayo kupitia ukurusa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter.

"Natoa wito kwa wanahabari na wananchi wetu kuendelea na utaratibu wa kupata taarifa kupitia vyanzo rasmi vya habari. Kutumia rumours/uvumi kama habari rasmi ni kukiuka sheria zinazosimamia sekta ya habari. Epukeni kusambaza habari ambazo mtawajibika nazo."

This time We've very hopeless Minister for that docket.
 
Uongo ukiuachia uenee hugeuka kuwa ukweli. Sasa kuna wengine wamepiga kambi humu kusubiria huo ukweli!!
Uongo utabaki uongo tu hiyo theory sio kweli kuwa uongo hugeuka ukweli

Mfano toka shule ya msingi umefundishwa rangi nyeupe ikoje unafika ukubwani unaambiwa mzungu ni mweupe na unakubali kuwa ni kweli mzu gu mwrupe!!!! hivi mzu gu ni mweupe? kati ya wewe na mwalimu aliyekugundisha aina za rangi shuleni na wewe ni nani mjinga?

Waweza mrudia tena mwalimu wako kuwa ahangaike aje mitandaoni kukanusha kuwa mzungu sio mweupe ana rangi inayofanana na nyekundu.Kuitwa mweupe si sahihi. Mwalimu wako hawezi poteza muda na mjinga kama wewe kuwa kama unaamini mzungu ni mweupe kuwa huo ndio ukweli endelea na ujinga wako mimi nilishakufundisha aina za rangi somo likaishia hapo.

Tabia za kupenda kuamini vitu vya kizushi zushi hushusha uwezo wa akili Ndio maana wengi wanaopenda hata kuangalia sana movie akili zao huwa zinaporomoka sababu wanashindia kuangalia vitu vya kutunga vya uzushi visivyo halisia.Bongo zao sehemu kubwa inajaa ujinga na uzushi


Uongo haujawahi geuka kuwa ukweli na haiji tokea ukageuka kuwa ukweli
 
Kama wamefinya vyombo official vya habari wakiamini watatuacha gizani, imekula kwao...

Wacha tupate habari toka vyanzo visivyo rasmi ambapo impact yake ni wao ku-loose power ya kuvicontrol...

Ndo maana wanawaza ku-limit WhatsApp calls au malaika aje azime mitandao ya kijamii.
Wakafunga na Twitter... tunaishi kwenye VPN hamna noma
 
I cement that kabisaaaa maana watu wamekalia umbea tuuu , oo flani anaumwa ooh flani kafa , turudi kwenye misingi yetu ya zamani ya utu ifike mahali usifurahie mwenzio akipata matatizo hata kama ni kweli. Enzi za mwalimu haikuwa hivi tubadilike
Waambie kwanza wapiga risasi wqheshimu uhai wa wenzao.
 
Vyanzo rasmi ndio hivyo mnasema raisi anahudhuria kikao cha wakuu wa Afrika Mashariki wakati si kweli?
 
Back
Top Bottom