Waziri wa habari, utamaduni na michezo ajiuzulu kwa adha iliyotokea kusogezwa mbele muda mchezo wa yanga na simba

Hii ni aibu kubwa kwa wizara husika kusogeza mbele muda mechi ya watani wa jadi Kati ya Simba vs yanga.
Waziri Bashungwa unapaswa kujiuzulu leo ndani ya masaa 24 kutokana na hali iliyotokea kwani hajui chochote kuhusu michezo, hajui kanuni za michezo.
Hivyo kusababisha adha hii.

Hii ni aibu kubwa kwa wizara husika kusogeza mbele muda mechi ya watani wa jadi Kati ya Simba vs yanga.
Waziri Bashungwa unapaswa kujiuzulu leo ndani ya masaa 24 kutokana na hali iliyotokea kwani hajui chochote kuhusu michezo, hajui kanuni za michezo.
Hivyo kusababisha adha hii

Wanaoweza kuwajibika/ kujiuzu ni wachache tena mara nyingi huwa mataifa ya wenzetu yaani nchi zilizoendelea, kwa nchi zinazoendelea hii ni ndoto ya mchana kiongozi kujiuzulu
 
Wanaoweza kuwajibika/ kujiuzu ni wachache tena mara nyingi huwa mataifa ya wenzetu yaani nchi zilizoendelea, kwa nchi zinazoendelea hii ni ndoto ya mchana kiongozi kujiuzulu
Hata iweje hawezi kujiuzulu kwa ridhaa take.
Kama ni mtu wa kuwajibika hata kwa lile la Basata lingetosha kuondoka
 
Serikali ilikuwa na event ya birthay ya mzee mwinyi pale Jnicc na event ilikuwa live om tbc. Believe or not familia ya mwinyi ambao kimsingi ndo wenye maamuzi kwa sasa waliamua kusogeza mechi mbele ili kushawishi watazamaji wageukie ili live event.....lakini sidhani kama mwitikio ulikuwa mzuri. This is Tanzania
 
Magu angekuwepo Waziri na Wenzake huenda wangejiuzulu kwa hofu tu ya kutumbuliwa.....ila kwa sasa wala sidhani hata kama ana hofu yoyote.
 
Back
Top Bottom