Hii ni aibu kubwa kwa wizara husika kusogeza mbele muda mechi ya watani wa jadi Kati ya Simba vs yanga.
Waziri Bashungwa unapaswa kujiuzulu leo ndani ya masaa 24 kutokana na hali iliyotokea kwani hajui chochote kuhusu michezo, hajui kanuni za michezo.
Hivyo kusababisha adha hii.
Hii ni aibu kubwa kwa wizara husika kusogeza mbele muda mechi ya watani wa jadi Kati ya Simba vs yanga.
Waziri Bashungwa unapaswa kujiuzulu leo ndani ya masaa 24 kutokana na hali iliyotokea kwani hajui chochote kuhusu michezo, hajui kanuni za michezo.
Hivyo kusababisha adha hii
Wanaoweza kuwajibika/ kujiuzu ni wachache tena mara nyingi huwa mataifa ya wenzetu yaani nchi zilizoendelea, kwa nchi zinazoendelea hii ni ndoto ya mchana kiongozi kujiuzulu