Waziri wa Habari na Michezo Emanuel Nchimbi atakiwa kujiuzulu

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
Sakata la TBC Kuonyesha muziki wa Taarab na Vodacom miss Tanzania kufanyika wakat Taifa likiwa limegubikwa na Janga / Msiba mkubwa wa kitaifa limechukua sura mpya baada ya waziri wa habari na michezo emanuel Nchimbi kutakiwa ajiuzulu mara moja .''vodacom na waziri Nchimbi ubinadamu ni zero ni bora kushuudia walimbwende na mikogo ya kuhingia kuliko kuonyesha utu . Visingizio vya kupata hasara suala la Michezo kutokuwa miongoni mwa masuala ya muhungano'' ni matusi na Dharau kwa watanzania

Mpaka saa moja jioni kituo cha Televisheni cha Taifa (TBC) Kilikuwa kinaonyesha watu wakicheza muziki wa Congo ,wanawake wakikatika viuno na hata ngoma za kienyeji.Si dharau kwa watanzania tu bali ni tusi kwa Rais Kikwete na Makamu wa Rais Dr Bilal.Makamu wa Rais na Rais wamejitahidi sana wameonyesha uongozi wa Dhabiti katika juhudi za uhokoaji .Ikumbukwe Rais Kikwete alifuta ziara yake huko canada ziara iliyokuwa imeandaliwa muda mrefu na kwa Gharama kubwa ,Lakini Rais aliona ni vema kufuta ziara kuliko kuwa nje ya Nchi na kutangaza siku 3 za maomboleza

Waziri Nchimbi kushindwa kusimamia na kutekeleza maelekezo ya Rais ya 3 ya maombolezo ni dharau na matusi kwa Watanzania Wote na kwa mabosi wake Rais Kikwete na Makamu wa Rais.Kwa mantiki hizo zote kwa busara za kawaida tena pasipo shuruti waziri Nchimbi ajiuzulu mara moja
 
Sijakuelewa Mpwa, ila shinikizo ni kubwa na uko sahhihi, irekebishe tu kidogo hasa upande wa source,
 
Sakata la TBC Kuonyesha muziki wa Taarab na Vodacom miss Tanzania kufanyika wakat Taifa likiwa limegubikwa na Janga / Msiba mkubwa wa kitaifa limechukua sura mpya baada ya waziri wa habari na michezo emanuel Nchimbi kutakiwa ajiuzulu mara moja .''vodacom na waziri Nchimbi ubinadamu ni zero ni bora kushuudia walimbwende na mikogo ya kuhingia kuliko kuonyesha utu . Visingizio vya kupata hasara suala la Michezo kutokuwa miongoni mwa masuala ya muhungano'' ni matusi na Dharau kwa watanzania

Mpaka saa moja jioni kituo cha Televisheni cha Taifa (TBC) Kilikuwa kinaonyesha watu wakicheza muziki wa Congo ,wanawake wakikatika viuno na hata ngoma za kienyeji.Si dharau kwa watanzania tu bali ni tusi kwa Rais Kikwete na Makamu wa Rais Dr Bilal.Makamu wa Rais na Rais wamejitahidi sana wameonyesha uongozi wa Dhabiti katika juhudi za uhokoaji .Ikumbukwe Rais Kikwete alifuta ziara yake huko canada ziara iliyokuwa imeandaliwa muda mrefu na kwa Gharama kubwa ,Lakini Rais aliona ni vema kufuta ziara kuliko kuwa nje ya Nchi na kutangaza siku 3 za maomboleza

Waziri Nchimbi kushindwa kusimamia na kutekeleza maelekezo ya Rais ya 3 ya maombolezo ni dharau na matusi kwa Watanzania Wote na kwa mabosi wake Rais Kikwete na Makamu wa Rais.Kwa mantiki hizo zote kwa busara za kawaida tena pasipo shuruti waziri Nchimbi ajiuzulu mara moja

Mbona TFF haiguswi?? Iliruhusu ligi iendelee!! Lkn bado Nchimbi anahusika hata kwenye ligi
 
Sijakuelewa Mpwa, ila shinikizo ni kubwa na uko sahhihi, irekebishe tu kidogo hasa upande wa source,

Duhu!! Kazi kweli kweli ,mpwa source fuatilia Vipindi vya TBC,2nd Fuatilia Miss Tanzania ilifanyika lini? na Wapi? Hope utakuwa umenielewa
 
Nadhani tuanze na yule wa Zanzibar waziri mwenye dhamana ya usafirishaji bado hatujasikia kawajibika, "ajiuzuru mara moja" then afuate na huyu wa bara (aka wa muungano). Kiufupi mawaziri wote wenye wizara husika wanatakiwa kujiuzuru kwa hiari na kuonyesha ubinaaaadamu.
 
Sakata la TBC Kuonyesha muziki wa Taarab na Vodacom miss Tanzania kufanyika wakat Taifa likiwa limegubikwa na Janga / Msiba mkubwa wa kitaifa limechukua sura mpya baada ya waziri wa habari na michezo emanuel Nchimbi kutakiwa ajiuzulu mara moja .''vodacom na waziri Nchimbi ubinadamu ni zero ni bora kushuudia walimbwende na mikogo ya kuhingia kuliko kuonyesha utu . Visingizio vya kupata hasara suala la Michezo kutokuwa miongoni mwa masuala ya muhungano'' ni matusi na Dharau kwa watanzania

Mpaka saa moja jioni kituo cha Televisheni cha Taifa (TBC) Kilikuwa kinaonyesha watu wakicheza muziki wa Congo ,wanawake wakikatika viuno na hata ngoma za kienyeji.Si dharau kwa watanzania tu bali ni tusi kwa Rais Kikwete na Makamu wa Rais Dr Bilal.Makamu wa Rais na Rais wamejitahidi sana wameonyesha uongozi wa Dhabiti katika juhudi za uhokoaji .Ikumbukwe Rais Kikwete alifuta ziara yake huko canada ziara iliyokuwa imeandaliwa muda mrefu na kwa Gharama kubwa ,Lakini Rais aliona ni vema kufuta ziara kuliko kuwa nje ya Nchi na kutangaza siku 3 za maomboleza

Waziri Nchimbi kushindwa kusimamia na kutekeleza maelekezo ya Rais ya 3 ya maombolezo ni dharau na matusi kwa Watanzania Wote na kwa mabosi wake Rais Kikwete na Makamu wa Rais.Kwa mantiki hizo zote kwa busara za kawaida tena pasipo shuruti waziri Nchimbi ajiuzulu mara moja

TBC ni tasisi huri inayosimamiwa na Bodi ya Wakurugenzi hivyo haiwajibiki moja kwa moja kwa Waziri.
 
Hapo kuna kazi kubwa sana ya kushosheana vidole...sidhani kama itasaidia!ubora wa vyombo unadhibiwa na nani??kwa nini waruhusu meli kama ile imechoka haswa ile meli...pia nani aliruhusu iondoke na mziko mkubwa kama ule??waliupima na kujua idadi ya abiria?tukimaliza huko ndio tuanze vitu vya ziada...sasa mawaziri,tv zetu mitandao etc!
 
Mnapopendekeza watu wajiuzulu ni kama hampo Tanzania vile. Hapo sasa hivi kila anayestahili kumwambia mwenzie ajiuzulu na yeye ataambiwa mbona wakati ule ulipofanya jambo fulani hukujiuzulu?
Tukumbuke kuwa haya mnayoyaona ni utamaduni wa kishenzi ambao umekuzwa na kuendelezwa na mfululizo wa serikali za magamba. Kujiuzulu kwa waziri maana yake ni kwamba uchunguzi wa kweli na wa wazi utafuata na wahusika wote watapatikana, kushitakiwa, kunyang'anywa leseni na kisha kufungwa. Hayo mmeshayaona yakifanyika?
 
BAADA YA UTAWALA WA MWALIMU, JE UTAMADUNI HUO WA KUJIUZULU UTOKE WAPI...?

Hapa Tanzania hatuna utamaduni wa kujiuzulu......!
Itakuwa miugiza ya aina yake, kwa kuwa maamuzi km hayo huwa yaanzia juu, Office ya JK kwa kuwakumbusha Ministers wale ambao Ministries zao zimepata matatizo au kashfa kufanya hivyo,
so km JK haoni umuhimu wowote.., je unategemea hao Ministers wakale wapi..? Maana ukiangalia umuhimu wao kipindi hiki ni nn la ziada linalofanyika kwa kumpunguzia mtanzania umaskini?
wameshindwa kuwapa Opportunities za kushiriki kuujenga Uchumi wa Nchi.
 
Hivi tanzania hii kuna m2 anaweza kujiuzuru.Ngereja kila siku anadanganya lkn yupo 2 anapeta.Wazir wa mambo ya ndani mabom yamelipuka mara 2 kukawepo na wito wa kujiuzuru akasema hakuna sababu ya kujiuzuru
 
Jamani,

Kwa Tz yetu ya sasa tunayoishi, utamaduni wa kujiuzulu kwa hiari haupo kabisa (wa mwisho alikuwa Ali Hasan Mwinyi). Kama ungekuwepo basi Hussein Mwinyi angekuwa waziri wa kwanza kujiuzulu kwa majanga ya mabomu Mbagala na Gongolamboto. Kwa hiyo msitegemee Nchimbi afanye hivyo.
 
Sidhani kama ana sababu ya kuwajibika kwasababu TBC ni chombo huru. Mwenye wajibu wa kuchukuliwa hatua ni Boss wa TBC.

Nchimbi aliona kinachoendelea kwenye TBC1 na ana contact za moja kwa moja na uongozi wa juu wa TBC kwa kuwashauri wasitishe maonyesho hayo na badala yake wageukie upande wa msiba ambao hisia za watu ziko. Wote wawili bosi wa TBC na Nchimbi wanabeba lawama.
 
Back
Top Bottom