Mhh huyu mama mbona nguo aliyovaa ina mitego? Nguo ya ndani na umbo linaonekana au ni macho yangu?? Huyu mama ndio Waziri?
Wadau wengine bana sasa mlitaka asivae nguo ya ndani au??bora mngesema angevaaa G string ili ule ufito usionekane wabongo bana hawana dogo akivaa kimini shida ufito wa chupi ukionekana shida,akivaa jeans shida hebu tujadili mambo muhimu na sio la uvaaji wa nguo
ogah pole kaka kwa vigongo kutoka kwa wife ni kweli haipendezi kwa waziri kuwa hivi!!!
Pichani kuna wenye kombati watatu.