Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Kwahiyo jamaa alikua yuko fiti sana pande hizo?🤣🤣🤣Ile kofia ya ngozi ya chui alikuwa anaivaa ni ya ndumba. Akiivaa ile Wakongoman man wote wanaufyata hizo enzi.
Kwahiyo jamaa alikua yuko fiti sana pande hizo?🤣🤣🤣Ile kofia ya ngozi ya chui alikuwa anaivaa ni ya ndumba. Akiivaa ile Wakongoman man wote wanaufyata hizo enzi.
Chini ya kitanda chake kulikuw na chungu na chini ya mto hirizi. Mke wake hakutakiwa kuvigusa.Kwahiyo jamaa alikua yuko fiti sana pande hizo?🤣🤣🤣
Mwisho wake viliisha nguvu akaja kuondolewa madarakani kwa aibu na akaikimbia nchi yakeChini ya kitanda chake kulikuw na chungu na chini ya mto hirizi. Mke wake hakutakiwa kuvigusa.
Mwenye nguvu utamfanyajeA
Ajabu sana! Pamoja na ukubwa wa Congo(Zaire) na kua na mamilioni ya watu wenye weledi wa kila aina ikiwemo utajiri wa sayansi ya asili ya kiafrika lakini walimuacha tu aendelee kuwaibia kwa miaka ya kutosha
Alitoa sana makafara ya binadamu, kuna wakati alitakiwa kafara la mabinti Bikira. Alitangaza nchi nzima mabinti bikra waende Ikulu anawapa scholarship France. Walipofika Ikulu aliwapa treat kwenye boat mto Congo. Alizamisha boat nzima.Mwisho wake viliisha nguvu akaja kuondolewa madarakani kwa aibu na akaikimbia nchi yake
Sema wakati huo alikua anasaidiwa na mabeberu ambao alikua anawapa tu rasilimali za Zaire kifisadi ila walipomtumia wakamchoka walimtupa kama toothpick iliyotumika na akaondolewa na Laurent Kabila
Dah! Wakati huo mataifa ya Magharibi yanatazama tu bila angalau hata kumshutumu kwa vile walikua wanafaidika na Congo chini ya Mobutu waliyemuweka wenyewe madarakani. So walikua wanamfumbia macho tuAlitoa sana makafara ya binadamu, kuna wakati alitakiwa Jafari la mabinti Bikira. Alitangaza nchi nzima mabinti bikra waende Ikulu anawapa scholarship France. Walipofika Ikulu aliwapa treat kwenye boat mto Congo. Alizamisha boat nzima.
apumzike anakostahili.