chipaka.com
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,883
- 1,188
Itategemea una_driver gari gani bossSasa hivi Fine watazisikia kwenye bomba,tupo makini kuliko wanavyodhani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itategemea una_driver gari gani bossSasa hivi Fine watazisikia kwenye bomba,tupo makini kuliko wanavyodhani.
Tatizo huu upotoshaji hakuna data nadhani itakuwa umeishiwa maneno maana TRA nusu mwaka 2019/2020 imekusanya 7.99T ambapo makusanyo kulingana na mwaka 2018/2019 ilikuwa ni 7.83T hivyo mwaka huu wamekusanya kiasi kikubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anabishana na waziri mwenye dhamanaLengo llilikuwa kukusanya kiasi gani?