Waziri wa Fedha Uingereza ametangaza kushusha umri wa kustaafu kufikia miaka 63 kutoka 72

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
Badiliko hili limelenga kuwasaidia babu na bibi kupata nafasi ya kulea wajukuu na kuwezesha idadi ya watu kuongezeka. Wengi wanaofanya kazi wanapata changamoto za gharama kubwa ya malezi ya watoto, jambo kinalopelekea wengi kuamua kutozaa.

Kwa badiliko hili jipya, ukifikisha miaka 63 unaweza kuanza kupata pension ya Taifa. Mwajiriwa anakatwa pension ya Taifa na mwajiri anaweza kuwa na mpangilio wake wa pension. Unaweza pia kutafuta pension ya ziada ukachangia hii huitwa private pension.

Kama imechangia pension zaidi ya moja unaweza kupata pension zote tatu mwisho wa mwezi. Umri wa kustaafu kwa sasa ni miaka 66 na sip 72.
 
Badiliko hili limelenga kuwasaidia babu na bibi kupata nafasi ya kulea wajukuu na kuwezesha idadi ya watu kuongezeka. Wengi wanaofanya kazi wanapata changamoto za gharama kubwa ya malezi ya watoto, jambo kinalopelekea wengi kuamua kutozaa.

Kwa badiliko hili jipya, ukifikisha miaka 63 unaweza kuanza kupata pension ya Taifa. Mwajiriwa anakatwa pension ya Taifa na mwajiri anaweza kuwa na mpangilio wake wa pension. Unaweza pia kutafuta pension ya ziada ukachangia hii huitwa private pension.

Kama imechangia pension zaidi ya moja unaweza kupata pension zote tatu mwisho wa mwezi. Umri wa kustaafu kwa sasa ni miaka 66 na sip 72.
Africa ukistafu wanataka ufe hawataki kukutunza eti wanahudumia asiyechangia hapa mzee mwinyi naona pesa za kustafu amezila kweli kweli au general musuguli

USSR
 
Africa ukistafu wanataka ufe hawataki kukutunza eti wanahudumia asiyechangia hapa mzee mwinyi naona pesa za kustafu amezila kweli kweli au general musuguli

USSR
Ulaya waligundua wanaostaafu na miaka 55 bado wana nguvu, fikiria uanze kumlipa mtu kuanzia 55 mpaka 98 huko.
 
Back
Top Bottom