COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Dawa na sisi ni kuiba kwa kwenda mbele na tusiulizane. Inauma na kukera sanaWatu hawa ni wa ajabu sana. CAG katoa tuhuma nzito sana ya shillingi 1.5 trillion kutojulikana ilikopotelea. Wahusika wote Serikalini wameamua kupiga kimya na kumpa jukumu la kujibu tuhuma hiyo nzito tumbili ambaye kwanza hayumo ndani ya Serikali na sijui ni nani aliyempa hilo jukumu ambalo si jukumu lake hata chembe.
Tunataka kumsikia jiwe kuhusu tuhuma hii nzito ya pesa nyingi sana za walipa kodi. Na ni akina nani waliowajibishwa kuhusu upotevu huo wa pesa nyingi sana.
Jiwe kuendelea kupiga kimya kuhusu tuhuma hii nzito ni kuonyesha dharau kubwa sana kwa CAG na walipa kodi wote nchini.