Waziri wa fedha: Deni la taifa limeongezeka kwa asilimia 17 ndani ya mwaka mmoja

Hii dukawalla thinking Ni hatari kuitumia kujadiliana uchumi wa nchi. Tatizo lenu nyiebnibukosefu wa intellectual missiles. Kwenye national economy hatujadili cash balance. Laiti ungejua kuwa hata mkopo unaweza kuwa liquid 'documentary credit' pia. Nyie shughuli udalali wa microfinance ndio shughuli mnayoiweza ya dukawalla. Big thinking tuwaachie akina Mpango. Kitabu chenu kimefungwa.
Wewe ukisoma hichi ulichoandika hapo juu unaelewa? Mkuu wewe ni miongoni mwa wanafunzi wa Magu kipindi akiwa mwalimu au mbona uko shallow hivi.
 
Hivyo ndivyo waziri anatakiwa kusema bika ya kumung'unga .

Kwa hakili za mwenyekiti wao watamfanyia zengwe wamtumbue.
 
Waziri yeyote atakaefuata amli za hivyo za anaemtuma ,heti asiseme ukweli ,siku utawa wao ukifika mwisho watakuja kushughulikiwa ipasavyo pindi tu mkaguzi wa hesabu akizipiti.

Wanatakiwa wasiogope na waseme ukweli.
 
Wewe ukisoma hichi ulichoandika hapo juu unaelewa? Mkuu wewe ni miongoni mwa wanafunzi wa Magu kipindi akiwa mwalimu au mbona uko shallow hivi.

Hukuelewa? Nimesema hivi; hii dukawalla thinking ni hatari kuitumia kujadili uchumi wa nchi. Tatizo lenu nyie ni ukosefu wa intellectual missiles. Kwenye national economy huwa hatujadili cash balance au cash flow.

Laiti ungejua kuwa hata mkopo unaweza kuwa liquid 'documentary credit' pia. Nyie shughulikieni mambo ya udalali wa microfinance kwa kuwa ndio shughuli mnayoiweza (dukawalla).

Big thinking ya uchumi wa nchi waachieNi wabobezi, akina Mpango. Kitabu chenu kilikwishafungwa kitambo! Sasa utakuwa umeelewa.
 
Serikali kupitia wizara ya fedha imesema kuwa deni la taifa limeongezeka kwa asilimia 17 kutoka dola za kimarekeni milioni 22,000 mwezi Juni mwaka 2016 hadi kufikia dola za kimarekani milioni 26,000 mwezi Juni mwaka 2017.

Waziri wa fedha na mipango Dkt. Philipo Mpango amesema hayo bungeni mjini Dodoma wakati akiwasilisha mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa kwa mwaka wa fedha 2018/2019 na mwongozo wa maandalizi ya mapango wa bajeti kwa mwaka 2018/2019.

Kwa mujibu wa Dkt. Mpango deni hilo la taifa linajumuisha deni la serikali lililofikia dola za kimarekani milioni 22, 000 na deni la sekta binafsi.

Katika hatua nyingine Dkt. Mpango amesema kuwa licha ya ongezeko hilo viashiria vinaonesha kuwa bado deni la taifa ni himilivu katika kipindi cha muda mfupi, mrefu na wa kati.

Ongezeko hili limechangiwa na mikopo mipya iliyochukuliwa kugharamia miradi ya maendeleo ikiwemo mradi wa ujenzi wa reli kwa kiwango cha Standard Gauge, mradi wa Stratergic Cities na mradi wa usafirishaji Dar Es Salaam DART




Chanzo: Azam Tv

Wanajamvi naomba mniweleweshe tuliambiwa kwamba reli mpya tunajenga kwa pesa zetu wenyewe si mkopo Leo hii tunaambiwa deni LA taifa limepaa moja ya sababu ni mkopo tuliochukuwa kwa ujenzi was hiyo reli naomba kueleweshwa.
 
Vburi vya serikali vinaanza kuwaumbua lisu aliwahi kusema serikali inakopa kwa siri inamkopea nani?

Serikali ikakanusha Leo mnasema wenyewe hadhani juzi mliambiwa dola imepanda shilingi imeshuka
Mkapinga
Mkaambiwa ndege imekamatwa mkapinga
Juzi rais anawaomba wana sheria wakasaidie kisheria
Mm naamini mtafikia mahali mtasema
Tumeshindwa kuwaongoza jameni tu naomba muandamane tutoke
 
Vburi vya serikali vinaanza kuwaumbua lisu aliwahi kusema serikali inakopa kwa siri inamkopea nani?

Serikali ikakanusha Leo mnasema wenyewe hadhani juzi mliambiwa dola imepanda shilingi imeshuka
Mkapinga
Mkaambiwa ndege imekamatwa mkapinga
Juzi rais anawaomba wana sheria wakasaidie kisheria
Mm naamini mtafikia mahali mtasema
Tumeshindwa kuwaongoza jameni tu naomba muandamane tutoke

watafikia siku watajilaumu kwa kufuata ushauri wa Bashite wa kutaka kumuua Tindu Lissu bila sababu....time will tell!
 
3ff10eb2371abfb6585cb1967bbc4fb3.jpg
uchumi huwa hauchezewi
Mujuwe mwenye msiba kaishiwa dua sasa anafanya makadirio kuwa maiti zake ziko peponi zinapata raha kumbe ziko motoni zinapata shida ya mateso!sasa akitokea mtani akakumbusha matendo ya maisha ya maiti namna wanavyo hishi kuwa hesabu ya matendo yao ambayo yangewaperekea kuishi vizuri yameshuka kwa mahesabu ya malaika wa peponi,masi mwenye misiba umfikiria mtani kuwa mbaya..!!
 
Serikali kupitia wizara ya fedha imesema kuwa deni la taifa limeongezeka kwa asilimia 17 kutoka dola za kimarekeni milioni 22,000 mwezi Juni mwaka 2016 hadi kufikia dola za kimarekani milioni 26,000 mwezi Juni mwaka 2017.

Waziri wa fedha na mipango Dkt. Philipo Mpango amesema hayo bungeni mjini Dodoma wakati akiwasilisha mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa kwa mwaka wa fedha 2018/2019 na mwongozo wa maandalizi ya mapango wa bajeti kwa mwaka 2018/2019.

Kwa mujibu wa Dkt. Mpango deni hilo la taifa linajumuisha deni la serikali lililofikia dola za kimarekani milioni 22, 000 na deni la sekta binafsi.

Katika hatua nyingine Dkt. Mpango amesema kuwa licha ya ongezeko hilo viashiria vinaonesha kuwa bado deni la taifa ni himilivu katika kipindi cha muda mfupi, mrefu na wa kati.

Ongezeko hili limechangiwa na mikopo mipya iliyochukuliwa kugharamia miradi ya maendeleo ikiwemo mradi wa ujenzi wa reli kwa kiwango cha Standard Gauge, mradi wa Stratergic Cities na mradi wa usafirishaji Dar Es Salaam DART




Chanzo: Azam Tv

Tuliambiwa miradi inatekelezwa kwa fedha za ndani. ......sasa mheshimiwa waziri mbona hatukusomi.
 
Sasa mlimkamata Zitto wa watu kwa ajili ya nini?

Uonevu tu huu.

Hivi hawa Askali wetu polisi hizi report wanasikilizaga au wapo kama ....... wakiambiwa kamata wanakamata.

kesho wanakosa ushaidi.
 
Kila nchi inadaiwa. Swali la muhimu ni je hizo pesa zinatumika kwenye shughuli za kuleta maendeleo? Kama jibu ni ndiyo hakuna shida. Wanajitahidi kujenga infrastructure hilo Magu ntamuunga mkono.
uko sahihi kabisa. issue, why tuongepewe? why nguvu kubwa inatumika kuficha ukweli? kwani kukopa na kuyumba kiuchumi ni kitu cha ajabu au ni kosa?
 
jpm.tunajenga reli kwa ela zetu na nchi ni tajiri hii, waziri nae deni limeongezeka kwa sababu ya kukopa ela ya ujenzzi wa reli na miundombinu mingine,??????????!!tumuelewe nani hapo sasa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
jpm.tunajenga reli kwa ela zetu na nchi ni tajiri hii, waziri nae deni limeongezeka kwa sababu ya kukopa ela ya ujenzzi wa reli na miundombinu mingine,??????????!!tumuelewe nani hapo sasa
Ni kweli kabisa tunakopa lakini tutazilipa tena na riba ila tukishalipa si inakua tumejenga kwa hela zetu?au vipeeee
 
Back
Top Bottom