DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

KaziIendelee

JF-Expert Member
Oct 30, 2013
327
229
Nawasalimu Wakuu,

Nchi inaenda pabaya wakuu, TISS msaidieni mama. Hivi inakuwaje waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?

Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?

Kazi kwenu!

========

Thread 'Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaj' Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaj
 
Back
Top Bottom