DOKEZO Waziri wa Elimu tusaidie. Wazazi tunateseka

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

bulabo

JF-Expert Member
Aug 20, 2015
620
759
WAZIRI WA ELIMU TUSAIDIE WHY PRE FORM ONE TUNALIPA 2.5M TO 3.0M

Dear walimu wa watoto wetu,

Wazazi wote wa wahitimu wa darasa la saba wako wanakimbizana kupata shule bora za watoto wetu. Na hii imekuwa biashara nzuri hasa kwa wenye shule. Shule inatambua kabisa kuwa ina nafasi 120 za kidato cha kwanza, lakini inafanyisha usahili watoto 4,000.

Mnapata income ya watoto 4,000 kwa 30,000 sawa na mil 120. Alafu mnatoa matokeo baada ya siku mbili. Mmesahisha kwa umakini na kutoa majibu. Aksanteni sana.

Baada ya kupata hii cream bora kabisa, mnakuja kutuambia waje pre form one. Pre form one ya nini walimu wetu?

1. Sylabus ya form 1 imewekwa kwa mwka 1. January to December. Kwa nini muda hautoshi?

2. Na sisi tulisoma, tena kayumba tulitumia miezi 4 ya kwanza kufanya English Course kabla ya kuanza masomo ya form one na tulimaliza vema kabisa.

3. Mmechukua cream kati ya watoto 4,000. Mna haraka gani kuwafanyia pre form one . Mngesema mnachukua watoto waliofeli na wasio na uwezo ndio mnawafanyia pre form one tungeona mna ukweli.

Sisi wazazi tunaruhusu huu utaratibu kuwa rasmi na kimsingi tunasahau kuwa hizi ni biashara za shule za private kuendelea kusumbua:

1. Watoto wanakosa kupumzika na kupata nafasi ya akili kupumua, mwisho wa siku tunapata wasomi waliochoka na hawana ari ya kazi

2. Wazazi wanalipa ada ya pre form one na form one baadaye. Ni hasara kwa wazazi kwa kuwa Hakuna hela ya kuchezea kwa sasa.

Imefika mahali shule zianze kuomba vibali vya kuendesha pre form one kwa watoto na iwe kwa ajili ya watoto wenye uwezo mdogo kama msaada na sio biashara ya kuingiza kipato kwa kuwachosha watoto na kutia hasara wazazi.

Waziri wa elimu tusaidie hili ya pre form halina afya.

Pia soma: Pre-form One ya nini tena?
 
2. Na sisi tulisoma, tena kayumba tulitumia miezi 4 ya kwanza kufanya English Course kabla ya kuanza masomo ya form one na tulimaliza vema kabisa.
Ninafiri ni vyema ukafanyia kazi point hii ili mtoto apate haki yake ya elimu na wewe mzazi usiumie kupita kiasi.

Umeeleza vyema kwamba hizi shule ni biashara...ninakushauri nunua bidhaa inayoendana na uwezo wako.
 
Una hoja nzuri na makini asiye na akili mfu atabaini hili na zito sana lafaa kupewa maanani, lakini wenye shule ni nani wana hisa na nani?

Waziri wa fedha, Rais wafaa kuzungumza kuhusu savings na kuainisha point ya kisa mafunzo kama hii ya shule za private. Ubepari katika nchi ya kinafiki ya watu wasiofika mbali Kwa kila kitu Kwa jambo lolote. Mark time state.
 
Kwenye hili la kuibinafsha elimu na elimu bora kuonekana kuwa kwa ajili ya watoto wa matajiri, tutamkumbuka sana mwalimu Nyerere.

Serikali acheni kuangamiza ubora wa elimu kwenye shule za umma, kisa nyie vigogo mnao uwezo wa kuwalipia watoto wenu kwenye English medium na International schools.

Mwalimu alifanya elimu bora kuwa takwa la msingi kwa kila mtanzania ndo maana wazazi wenu na nyie mmefanikiwa kufika hapo mlipo pamoja na kutokea familia maskini na duni huko vijijini.​
 
WAZIRI WA ELIMU TUSAIDIE WHY PRE FORM ONE TUNALIPA 2.5M TO 3.0M

Dear walimu wa watoto wetu,

Wazazi wote wa wahitimu wa darasa la saba wako wanakimbizana kupata shule bora za watoto wetu. Na hii imekuwa biashara nzuri hasa kwa wenye shule. Shule inatambua kabisa kuwa ina nafasi 120 za kidato cha kwanza, lakini inafanyisha usahili watoto 4,000.

Mnapata income ya watoto 4,000 kwa 30,000 sawa na mil 120. Alafu mnatoa matokeo baada ya siku mbili. Mmesahisha kwa umakini na kutoa majibu. Aksanteni sana.

Baada ya kupata hii cream bora kabisa, mnakuja kutuambia waje pre form one. Pre form one ya nini walimu wetu?

1. Sylabus ya form 1 imewekwa kwa mwka 1. January to December. Kwa nini muda hautoshi?

2. Na sisi tulisoma, tena kayumba tulitumia miezi 4 ya kwanza kufanya English Course kabla ya kuanza masomo ya form one na tulimaliza vema kabisa.

3. Mmechukua cream kati ya watoto 4,000. Mna haraka gani kuwafanyia pre form one . Mngesema mnachukua watoto waliofeli na wasio na uwezo ndio mnawafanyia pre form one tungeona mna ukweli.

Sisi wazazi tunaruhusu huu utaratibu kuwa rasmi na kimsingi tunasahau kuwa hizi ni biashara za shule za private kuendelea kusumbua:

1. Watoto wanakosa kupumzika na kupata nafasi ya akili kupumua, mwisho wa siku tunapata wasomi waliochoka na hawana ari ya kazi

2. Wazazi wanalipa ada ya pre form one na form one baadaye. Ni hasara kwa wazazi kwa kuwa Hakuna hela ya kuchezea kwa sasa.

Imefika mahali shule zianze kuomba vibali vya kuendesha pre form one kwa watoto na iwe kwa ajili ya watoto wenye uwezo mdogo kama msaada na sio biashara ya kuingiza kipato kwa kuwachosha watoto na kutia hasara wazazi.

Waziri wa elimu tusaidie hili ya pre form halina afya
Umenena vema sana nakupongeza
Kama ni pre form one anataka ndio aende
Wamiliki wa shule wamekuwa wakijali maslahi Yao zaidi
 
WAZIRI WA ELIMU TUSAIDIE WHY PRE FORM ONE TUNALIPA 2.5M TO 3.0M

Dear walimu wa watoto wetu,

Wazazi wote wa wahitimu wa darasa la saba wako wanakimbizana kupata shule bora za watoto wetu. Na hii imekuwa biashara nzuri hasa kwa wenye shule. Shule inatambua kabisa kuwa ina nafasi 120 za kidato cha kwanza, lakini inafanyisha usahili watoto 4,000.

Mnapata income ya watoto 4,000 kwa 30,000 sawa na mil 120. Alafu mnatoa matokeo baada ya siku mbili. Mmesahisha kwa umakini na kutoa majibu. Aksanteni sana.

Baada ya kupata hii cream bora kabisa, mnakuja kutuambia waje pre form one. Pre form one ya nini walimu wetu?

1. Sylabus ya form 1 imewekwa kwa mwka 1. January to December. Kwa nini muda hautoshi?

2. Na sisi tulisoma, tena kayumba tulitumia miezi 4 ya kwanza kufanya English Course kabla ya kuanza masomo ya form one na tulimaliza vema kabisa.

3. Mmechukua cream kati ya watoto 4,000. Mna haraka gani kuwafanyia pre form one . Mngesema mnachukua watoto waliofeli na wasio na uwezo ndio mnawafanyia pre form one tungeona mna ukweli.

Sisi wazazi tunaruhusu huu utaratibu kuwa rasmi na kimsingi tunasahau kuwa hizi ni biashara za shule za private kuendelea kusumbua:

1. Watoto wanakosa kupumzika na kupata nafasi ya akili kupumua, mwisho wa siku tunapata wasomi waliochoka na hawana ari ya kazi

2. Wazazi wanalipa ada ya pre form one na form one baadaye. Ni hasara kwa wazazi kwa kuwa Hakuna hela ya kuchezea kwa sasa.

Imefika mahali shule zianze kuomba vibali vya kuendesha pre form one kwa watoto na iwe kwa ajili ya watoto wenye uwezo mdogo kama msaada na sio biashara ya kuingiza kipato kwa kuwachosha watoto na kutia hasara wazazi.

Waziri wa elimu tusaidie hili ya pre form halina afya
Kila kitu waziri au Rais! Kwani mnashikiwa panga kuwaingiza watoto wenu huko? Hamuwezi kuongea na uongozi wa shule mkaelewana?
 
Usiigize maisha yako ishi kama wewe. Wazazi/walezi wengi wanatamani maisha ya juu ili hali uwezo huo hana.

Kwanini tunawatesa watoto kwa kuwapeleka watoto wetu mashule yenye gharama kubwa tusiyoimudu? Ona sasa aibu hii
 
WAZIRI WA ELIMU TUSAIDIE WHY PRE FORM ONE TUNALIPA 2.5M TO 3.0M

Dear walimu wa watoto wetu,

Wazazi wote wa wahitimu wa darasa la saba wako wanakimbizana kupata shule bora za watoto wetu. Na hii imekuwa biashara nzuri hasa kwa wenye shule. Shule inatambua kabisa kuwa ina nafasi 120 za kidato cha kwanza, lakini inafanyisha usahili watoto 4,000.

Mnapata income ya watoto 4,000 kwa 30,000 sawa na mil 120. Alafu mnatoa matokeo baada ya siku mbili. Mmesahisha kwa umakini na kutoa majibu. Aksanteni sana.

Baada ya kupata hii cream bora kabisa, mnakuja kutuambia waje pre form one. Pre form one ya nini walimu wetu?

1. Sylabus ya form 1 imewekwa kwa mwka 1. January to December. Kwa nini muda hautoshi?

2. Na sisi tulisoma, tena kayumba tulitumia miezi 4 ya kwanza kufanya English Course kabla ya kuanza masomo ya form one na tulimaliza vema kabisa.

3. Mmechukua cream kati ya watoto 4,000. Mna haraka gani kuwafanyia pre form one . Mngesema mnachukua watoto waliofeli na wasio na uwezo ndio mnawafanyia pre form one tungeona mna ukweli.

Sisi wazazi tunaruhusu huu utaratibu kuwa rasmi na kimsingi tunasahau kuwa hizi ni biashara za shule za private kuendelea kusumbua:

1. Watoto wanakosa kupumzika na kupata nafasi ya akili kupumua, mwisho wa siku tunapata wasomi waliochoka na hawana ari ya kazi

2. Wazazi wanalipa ada ya pre form one na form one baadaye. Ni hasara kwa wazazi kwa kuwa Hakuna hela ya kuchezea kwa sasa.

Imefika mahali shule zianze kuomba vibali vya kuendesha pre form one kwa watoto na iwe kwa ajili ya watoto wenye uwezo mdogo kama msaada na sio biashara ya kuingiza kipato kwa kuwachosha watoto na kutia hasara wazazi.

Waziri wa elimu tusaidie hili ya pre form halina afya
Baada ya kupata hii cream bora kabisa, mnakuja kutuambia waje pre form one. Pre form one ya nini walimu wetu?
 
Taja hiyo shule iliyomchuja Mwanao ili tuanzie hapo but I'm not sure wanafunzi zaidi ya 4K waombe shule moja then watafute cream?
 
Back
Top Bottom