Kumekuwepo na matatizo makubwa NACTE mnapotuma matokeo ya watoto vyuoni.
Mtoto hawezi kuyaona ontime pia na wazazi. Kumekuwa au kuna uwezekano mkubwa hata wa ku- manipulate/ku-temper na ufaulu wa watoto kwa faida ya chuo/walimu etc.
Maadam chuo ndicho kinamwonesha mwanafunzi matokeo, chochote kinaweza kufanyika yakitua kwa Mkuu/Mwalimu mwenye nia OVU.
Ushahidi upo mkubwa tu.
Waziri wa Elimu tafadhali ingilia hili. Matokeo yawekwe/yatangazwe kama yanavyotangazwa matokeo ya NECTA ya forms 2,4 and 6.
NECTA kunakuwepo na uwazi wa kutosha ambapo shule haiwezi ku-temper na matokeo ya watoto.
Mpaka sasa matokeo ya Semester 2/2020 bado baadhi ya vyuo hawataki kuwaonesha wanafunzi matokeo yao.
Kunakuwa na usiri mkubwa katika kutoa matokea kwa baadhi ya vyuo, kitu ambacho kinatia mashaka na usiri huo.
Mpaka sasa/leo hii 15/11/2020 baadhi ya vyuo hawataki kutoa matokeo ya wanafunzi.
Mtoto hawezi kuyaona ontime pia na wazazi. Kumekuwa au kuna uwezekano mkubwa hata wa ku- manipulate/ku-temper na ufaulu wa watoto kwa faida ya chuo/walimu etc.
Maadam chuo ndicho kinamwonesha mwanafunzi matokeo, chochote kinaweza kufanyika yakitua kwa Mkuu/Mwalimu mwenye nia OVU.
Ushahidi upo mkubwa tu.
Waziri wa Elimu tafadhali ingilia hili. Matokeo yawekwe/yatangazwe kama yanavyotangazwa matokeo ya NECTA ya forms 2,4 and 6.
NECTA kunakuwepo na uwazi wa kutosha ambapo shule haiwezi ku-temper na matokeo ya watoto.
Mpaka sasa matokeo ya Semester 2/2020 bado baadhi ya vyuo hawataki kuwaonesha wanafunzi matokeo yao.
Kunakuwa na usiri mkubwa katika kutoa matokea kwa baadhi ya vyuo, kitu ambacho kinatia mashaka na usiri huo.
Mpaka sasa/leo hii 15/11/2020 baadhi ya vyuo hawataki kutoa matokeo ya wanafunzi.