Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,685
- 32,997
Waliopo hawana tofauti na wezi, majambazi, majangiliMwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.