Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,920
- 31,161
- Thread starter
- #141
Arusha School ilikuwa ikitumia lugha ya kiingereza tangu miaka ya 1970s nashindwa kuelewa Serekali ilishindwa nini kuongeza idadi ya shule wakati waalimu wapo.
Nafikiri kuwepo mkakati maalumu wa kuongeza idadi ya shule za Serekali zinazotumia lugha ya kiingereza.
Mfano Serekali inaweza kuja na mkakati wa kuzibadili shule tano kila mwaka katika majiji yote Tanganyika.Niomeona kuanza na majiji ni rahisi kwasababu idadi ya waalimu wenye sifa ni rahisi kupatikana na nafasi ya kushirikisha wazazi kwa maana ya kuchangia gharama ni rahisi pia.
Nafikiri kuwepo mkakati maalumu wa kuongeza idadi ya shule za Serekali zinazotumia lugha ya kiingereza.
Mfano Serekali inaweza kuja na mkakati wa kuzibadili shule tano kila mwaka katika majiji yote Tanganyika.Niomeona kuanza na majiji ni rahisi kwasababu idadi ya waalimu wenye sifa ni rahisi kupatikana na nafasi ya kushirikisha wazazi kwa maana ya kuchangia gharama ni rahisi pia.