Waziri wa Elimu anafanya kazi gani mpaka baadhi ya mambo ayatolee maamuzi Rais?

Emmanuel180

JF-Expert Member
Dec 17, 2019
342
626
Binafsi huwa napatwa na mhaho sana pale ambapo nakua naangalia utendaji kazi wa baadhi ya mawaziri ambao wengine ni maprofesa kabisa lakini wao kama mawaziri sioni contribution yao moja kwa moja wanasubiri wadau walalamike moja kwa moja kwa Rais then yeye anafuatisha maagizo.

Je, Wao hawawezi kusikiliza ushauri au malalamiko kwa watu na kwenda ku discuss na Rais kuona jinsi ya kuondoa hiyo adha au ku-modify aje atupe mrejesho?

Suala la malalamiko ya retention fee lilikuwa linapigiwa kelele muda mrefu ila Waziri mwenye dhamana yupo kimya tu na yeye akitoka mbele anakuja kugongelea misumari mule mule kwamba hivo ndio inavotakiwa ili HELSB wapate faida lakini leo hii anakuja Rais mwingine anaridhia kuondoshwa kwa makato na yeye anakuja Bungeni kupigilia msumari

Je, huku si kukosa msimamo? Sasa yeye kama Waziri kuna haja gani ya kukaa pale kama yeye hawezi kuwasikikiza wananchi na kututatulia matatizo yetu mpaka wanachi wayafikishe moja kwa moja kwa mkuu?

NAWASILISHA

Screenshot_20210504-180912.jpg
 
Hili suala sio wewe mwenyewe unayelishangaa ni watu wote makini wanamshangaa huyu Waziri wa Elimu

Yaani yeye huwa anasubiri kuendeshwa na remote controller. Anapewa maagizo halafu baada ya siku mbili anatangaza kutekeleza.

Sio bure nayeye alikuwa anakula mgao wa Retention fee ya HESLB ile 6% na penalty ya 10% kwasababu hatahivyo hizo pesa hazijulikani zilikuwa zinaenda wapi exactly.

Hili la retention fee na penalty yeye hakuona kuwa ni uonevu na mzigo kwa mtanzania masikini anayemaliza chuo na kukaa miaka 8 bila ajira?

Huyu Mama anashangaza sana tangu wakati wa JPM.
 
Kupiga tu mkwara, hakuna creativity yoyote ile. Wanasubiri perdiems tu za kwenda kutisha Walimu
 
Hili suala sio wewe mwenyewe unayelishangaa ni watu wote makini wanamshangaa huyu Waziri wa Elimu

Yaani yeye huwa anasubiri kuendeshwa na remote controller. Anapewa maagizo halafu baada ya siku mbili anatangaza kutekeleza.

Sio bure nayeye alikuwa anakula mgao wa Retention fee ya HESLB ile 6% na penalty ya 10% kwasababu hatahivyo hizo pesa hazijulikani zilikuwa zinaenda wapi exactly.

Hili la retention fee na penalty yeye hakuona kuwa ni uonevu na mzigo kwa mtanzania masikini anayemaliza chuo na kukaa miaka 8 bila ajira?

Huyu Mama anashangaza sana
Mi simuelewagi..naona ni mtu wa kufuata upepo..sijui uprof.ni wa kucream ama? Naona hawa ndio wale wanaongaliwa ktk safari ya Samia!
 
Hiyo inaitwa bendera fata upepo au kinyonga.Hata hao madc,Marc unawasikia siku hizi na Visa vyao vya kuwasweka watu ndani?
 
Binafsi huwa napatwa na mhaho sana pale ambapo nakua naangalia utendaji kazi wa baadhi ya mawaziri ambao wengine ni maprofesa kabisa lakini wao kama mawaziri sioni contribution yao moja kwa moja wanasubiri wadau walalamike moja kwa moja kwa Rais then yeye anafuatisha maagizo.

Je, Wao hawawezi kusikiliza ushauri au malalamiko kwa watu na kwenda ku discuss na Rais kuona jinsi ya kuondoa hiyo adha au ku-modify aje atupe mrejesho?

Suala la malalamiko ya retention fee lilikuwa linapigiwa kelele muda mrefu ila Waziri mwenye dhamana yupo kimya tu na yeye akitoka mbele anakuja kugongelea misumari mule mule kwamba hivo ndio inavotakiwa ili HELSB wapate faida lakini leo hii anakuja Rais mwingine anaridhia kuondoshwa kwa makato na yeye anakuja Bungeni kupigilia msumari

Je, huku si kukosa msimamo? Sasa yeye kama Waziri kuna haja gani ya kukaa pale kama yeye hawezi kuwasikikiza wananchi na kututatulia matatizo yetu mpaka wanachi wayafikishe moja kwa moja kwa mkuu?

NAWASILISHA

View attachment 1773542
Bora hata Mungai alileta Physics with chemistry

Mama Sita akarejesha mtaala wa 1997 na walimu wa vodafasta.

Jumanne Maghembe akaja na Tata print na Tanzania beyond tomorrow

Kawambwa akaleta diploma za form four leavers, mabadiliko ya basic education kuwa primary na secondary na division five.

Huyu mama yeye ni clueless 7 years hakuna initiative zozote za kuboresha elimu yeye na I will put you inside tu hovyo kabisa.
 
Bora hata Mungai alileta Physics with chemistry

Mama Sita akarejesha mtaala wa 1997 na walimu wa vodafasta.

Jumanne Maghembe akaja na Tata print na Tanzania beyond tomorrow

Kawambwa akaleta diploma za form four leavers, mabadiliko ya basic education kuwa primary na secondary na division five.

Huyu mama yeye ni clueless 7 years hakuna initiative zozote za kuboresha elimu yeye na I will put you inside tu hovyo kabisa.
Huyu mama yeye anachofanya ni kuongeza tu grade point za passmark kwa form 6 na form 4 yaani yeye yuko pale kufanya hilo tu ndio alilofanya wakati anaingia madarakani awamu ya 5 kuondoa tu ile GPA Baada ya hapo katulete vile vitabu vya ajabu Ajabu yaani yeye toka amerekebisha marks za ufaulu hajaona kama kuna shida nyingine kwenye elimu zaidi ya kuwafukuza wanafunzi wanao dai mikopo ya elimu ya juu kwa kisingizio kwamba hawawezi kumgusa hii nchi inahitaji mabadiliko makubwa sana

Ndio maana nilimpenda jana Uhuru Kenyatta alisema

Sasa kama mawaziri wanasubiri kuambiwa wafanye hivi kuna haja gani au maana gani ya kuendelea kua waziri si bora waondoke kwasababu yeye anafanya kazi kwa niaba ya serikali inamaana yeye anamuwakilisha raisi sasa kama kila kitu afikirie raisi aseme yeye atekeleze kuna haja gani ya kua na waziri ambaye hayupo creative kuwaza wapi kuna shida nitatue

Hata kama bosi wao hua anazingua basi wawe wanampelekea kwanza proposal wakubaliane halafu waje hapa kututangazia sasa kama tutasubiri TUCTA waende siku ya wafanyakazi kuomba mshahara uongezwe na waziri wa elimu pamoja na TAMISEMI wapo hawakuona haja ya mishahara kuongezwa kwa watumishi wanafanya nini paleeeee?
 
Bora hata Mungai alileta Physics with chemistry

Mama Sita akarejesha mtaala wa 1997 na walimu wa vodafasta.

Jumanne Maghembe akaja na Tata print na Tanzania beyond tomorrow

Kawambwa akaleta diploma za form four leavers, mabadiliko ya basic education kuwa primary na secondary na division five.

Huyu mama yeye ni clueless 7 years hakuna initiative zozote za kuboresha elimu yeye na I will put you inside tu hovyo kabisa.
 
Atakua chimbo maana mwenda zake alimwambia aanzishe SoMo la historian ya Tanzania ...
 
Back
Top Bottom