engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana JF mpaka sasa hakuna waziri wa CCM kati ya wale wanaotakiwa kuachia ngazi aliyebutua mpira(KOMBOLELA) ili kuweza kumwokoa waziri mkuu?
Picha hii kwa hisani ya kipanya
Kipanya upo juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
maana zifikapo saini 70 basi hoja ya kuto kuwa na imani na PM itawekwa mezani,ili kuokoa hilo ni lazima mawaziri husika wabutue mpira kumwokoa pm
Picha hii kwa hisani ya kipanya
Kipanya upo juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
maana zifikapo saini 70 basi hoja ya kuto kuwa na imani na PM itawekwa mezani,ili kuokoa hilo ni lazima mawaziri husika wabutue mpira kumwokoa pm