johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,845
- 141,767
Waziri wa biashara wa Zanzibar amewaonya wafanyabiashara wanaopandisha bei za bidhaa kiholela na amewanyang'anya Leseni wafanyabiashara sita wa sukari kisiwani Pemba.
Waziri amesema bei ya sukari isizidi tsh 2000/= kwa kilo, Mchele tsh 1600/= kwa kilo na Unga wa ngano tsh 1600 kwa kilo.
Source: ITV habari
===
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe Omar Said Shaban amefuta leseni za wafanyabishara sita kwa kuuza sukari kwa bei ya juu na kutoa onyo kwa wengine.
Waziri amesema bei ya sukari isizidi tsh 2000/= kwa kilo, Mchele tsh 1600/= kwa kilo na Unga wa ngano tsh 1600 kwa kilo.
Source: ITV habari
===
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe Omar Said Shaban amefuta leseni za wafanyabishara sita kwa kuuza sukari kwa bei ya juu na kutoa onyo kwa wengine.