Utakatifu na haki
Member
- Jun 17, 2020
- 75
- 268
Hosipitali hasa za Wilaya kuna tabia moja ya madaktari kula njama na watu wa maabara kupima kila kipimo ni Tsh. 2000!.
Mgonjwa akienda kwa Daktari akimweleza dalili za ugonjwa daktari anamwandikia vipimo zaidi ya vinne! Na ili mgonjwa akapimwe mpaka akalipie kwanza. Hii imekuwa kero kwa wananchi wa kipato cha chini!.
Daktari uliyesomea na kuwa qualified napata mashaka hata kama hana uhakika zaidi ya vipimo vinne?.
Mgonjwa akienda kwa Daktari akimweleza dalili za ugonjwa daktari anamwandikia vipimo zaidi ya vinne! Na ili mgonjwa akapimwe mpaka akalipie kwanza. Hii imekuwa kero kwa wananchi wa kipato cha chini!.
Daktari uliyesomea na kuwa qualified napata mashaka hata kama hana uhakika zaidi ya vipimo vinne?.