Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,499
- 9,279
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu apiga marufuku manesi kufanya kazi katika maduka ya dawa za binadamu (pharmacy) kuanzia Desemba 30, 2017
Hivi bado tuko ya nne?Dah,Masikini cye vijana cjui tumeikosea nini hii serikali ya awamu ya nne
Mkuu upo nchi gani manaake huku kwetu ni awamu ya TANO.Dah,Masikini cye vijana cjui tumeikosea nini hii serikali ya awamu ya nne
Kidole kilikosea kutaipuHivi bado tuko ya nne?
Nafikiri anataka watu wenye taaluma ya Phamacy tu ndo wahudumie,Maduka mengi ya dawa ukiangalia wauzaji wake wengi ni wale wenye cheti cha unesi,Anataka hayo maduka(Pharmacy) nani auze?
Siyo mbaya sana sababu nurse anauelewa wa kutosha kuhusu dawa.Nafikiri anataka watu wenye taaluma ya Phamacy tu ndo wahudumie,Maduka mengi ya dawa ukiangalia wauzaji wake wengi ni wale wenye cheti cha unesi,
Yaani maskini watanzania tunapoelekea ni kuteketea mazimaSiku sio nyingi mishahara itafutwa na kuambia kupokea mishahara sio uzalendo.
hasira naye in person ila kumbuka alichoagiza kinatimiliza sheria, muuza dawa anatakiwa kuwa pharmacist ama pharmacist technicianHuyu mwanamke ni mpiga domo sana. Kama anaona nongwa waongezeeni mishahara au shida yake nini!
Apambane na uhaba wa dawa nchini asifikiri hivyo vikauli uchwara vitaleta dawa.