Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,598
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Dr. Nyambura Moremi na Jacob Lusekelo Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.
Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona
Dr. Nyambura Moremi
Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona
Dr. Nyambura Moremi