Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, aagiza kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na Meneja udhibiti na ubora

Kwamba anatumika na mabeberu au sio?

Hivi kwanini amekuwa obsessed na mabeberu kiasi hicho?
Ni kwa sababu huwa wanamwambia ukweli naye siyo muumini mzuri wa hilo. Huyu Mzee anapenda mambo ya ufichoni na ndiyo sababu za kajificha huko.
 
Mbuzi wa kafara...mbuzi wa kafara...lazima wapatikane.

Makinikia ya CORONA....

Everyday is Saturday......................... :cool:
 
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Jacob Lusekelo na Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.

Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona

View attachment 1439553
Serikali iliyo corrupt kila wakati huwa inawatupia lawama wasiohusika baada ya wao wenyewe serikali kushindwa kusimamia majukumu yao. Huu uamuzi unaongeza taharuki zaidi kitaifa na kimataifa
 
Maabara ya taifa ikigundulika na kasoro inakaguliwaga na wataalam kutoka huko mamlaka za duniani. Yani mnafanya mambo ya kipumbavu kabisa!
.Mambo ya makinikia yanajirudia kwenye corona.Ila idadi ya watu laki tatu ya Miguna Miguna nahisi ni ndogo
 
Dada yangu Ummy usijitoe ufahamu; hawa akina LYAMUYA, SHIRIMA, MARANDU, MSHANA, NA MSANGI wewe unajipenda ? ohoooo!!!! Yaani umekosa akina Masanja, Kobeho, Magige, Cheyo, hata akina Muras
Naona tumeaminiwa tena!!
 
Hongera zake ingawa hii kamati haipo sawa/huru kwa sababu imesheheni wataalamu wetu wa afya ambao wanaweza kulindana kwa namna moja au nyingine. Ingekuwa vyema kama wataalamu wa kada zingine wangewekwa katika kamati hiyo ili kuweka mizani katika hali ya usawa.
Kwanini wasiajiri wachunguzi huru?
 
Ila swab kuweza kutofautisha kwa macho kuwa haikutoja kwa binadamu Ni vigumu Sana,,maana kunakuwa na unyevu tu kwenye pamba,
Macho hayawezi kudetermine kuwa huu unyevu umetoka kwenye mbuzi ama papai,
Kuna testing Aina tatu katika kudetermine infection...
Maabara ya taifa wanatumia PCR. Sioni ajabu RNA ya Coronavirus kukutwa kwenye mbuzi,papai ama fenesi. Yatakuwa yalikuwa contaminated.

Otherwise ili kuleta confirmation walitakiwa same sample wapeleke kwenye maabara tofauti hata tano.

Hizo information moja tu haiwezi kukonclude kwamba mashine ni mbovu au wapimaji walikosea. The data is not sufficient kuwatuhumu watu.
 
Nchi ya maajabu hii. Ngoja tuje kusikia Waziri wa Habari na utamaduni kumsimamisha "kazi" kigogo2014 kutojishughulisha na Twiiter hadi hapo taarifa ya kamati iliyoundwa kuchunguza maabara.
Hivi kama wanautaka ukweli kwa nini kamati hiyo ishikaribishe wataalamu toka nje mfano WHO na taasisi za magonjwa ya kuambukiza?
Hao wote mpaka wastaafu wanalipwa na serikali iliyo chini ya MTU aliyeituhumu maabara ya taifa kuwa inatumiwa na mabeberu. Hapo hakuna jipya Ila kuhalalisha vifo vya Watanzania
Kuna wakati lazima utumie akili. Nchi huru kukaribisha wageni kwenye jambo la kinchi ni ukoloni mambo leo. Kwa mfano unakuwa na tatizo katika familia yako, unamwita jirani as if huna competent person anayeweza kusolve tatizo hilo ni ujuha. Jaribu kila wakati kuanza na wako ndipo uende nje. Issue nani analipa ni suala lisilo na mantiki
 
K
Ni sawa :kusimamishwa" kupisha uchunguzi ni taratibu za kawaida duniani Kote nadhani.

Hawajafukuzwa hawa watumishi. Na kuwa mkurugenzi haimaanishi yeye ndiye hupima, wao ni wasimamizi wa wafanyakazi wengi.

Tuwape muda wafanye kazi yao, tusianze kuwa hukumu kabla.

Vinavyochunguzwa vingi naamini, watu uzoefu na taaluma zao hasa wahusika, machines zenyewe, chemicals/ reagents.
Na vingine tusivyo visual.

Hivyo tuwape muda watuletee majibu.
Kwa Tanzania ya sasa ukisimamishwa kupisha uchunguzi ile nafasi yako sahau kabisa
 
Hivi Tanzania hatusomewi tena status ya maambukizi ya Corona tunaanza kuwasaka wanaopima corona????. Kwa hiyo tuna wa encourage kutoa majibu fake ya vipimo. Guess what ?

Unless madaktari waseme enough is enough na our professional must be respected la sivyo hakuna daktari yuko radhi kumwaga ugali wa watoto eti kwa kutoa majibu ya vipimo vya covid-19.
 
Back
Top Bottom