SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Waziri wa Afya ni mtu mdogo sana kwa MakondaMakonda msema ovyo sijui kama amemsikia waziri wa Afya maana yule jamaa mdomo wake anaujua yeye mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wa Afya ni mtu mdogo sana kwa MakondaMakonda msema ovyo sijui kama amemsikia waziri wa Afya maana yule jamaa mdomo wake anaujua yeye mwenyewe
Makonda doesnt deserve to be the governor of Dar
Ila kwa kubakishwa kwake pengine ana umuhimu na mambo ya siri beyond our visibility
Mambo ya siri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa msaidiz wa Makonda
Ametangazwa na mtu aliyekosa maadili ktk jamii.Mtoto wa Mbowe kajitaja mwenyewe nae?
Sawa msaidiz wa Makonda
makonda ametaja majina hadharani,ila angekuwa lema ,sijui angekuwa hali gani,makonda kama baba wa taifa hili haguswi,Waziri wa afya Ummy Mwalimu amesema ni marufuku kwa mtu yeyote kutangaza majina ya wagonjwa wa corona kwani hiyo ni siri kati ya Daktari na mgonjwa.
Waziri amesema kutaja taja majina kunaleta unyanyapaa kitu ambacho ni kibaya sana mbele ya jamii na mbele za Mungu. Na zaidi Ummy amesema ndio maana hata yeye na mwenzie Hamad wa Zanzibar huwezi kuwasikia wakitaja majina zaidi ya yale ya Isabela, Mwana FA na Sallam ambao walijitangaza wenyewe.
Waziri Ummy amesema ni marufuku pia mtumishi yeyote wa Serikali kutoa takwimu na taarifa za wagonjwa wa Corona zaidi ya yeye Waziri, Waziri mkuu na Rais mwenyewe.
Source ITV habari!