Waziri wa Afya ni bora ungeanza na mchakato wa Bima ya Afya kwa kila Mtanzania kuliko kutoa agizo kama hili

Hapa tunazungumzia kutatua tatizo la maiti kuzuiwa hospitalini sababu ndugu wa marehemu hawana uwezo kulipia gharama za matibabu ya mpendwa wao, wewe bado unaturudisha kwenye madaraja, kumbe basi hata kuwa na bima ya Afya haitakuwa suluhisho la kuondoa tatizo la maiti kuzuiwa hospitalini, sasa km kulipia hawawezi, na bima wanakuwa daraja la chini, what next...?!
Kwani kifo kinabagua? Watu wanakufa hata kwa kukosa tiba ya malaria ya 30000.
 
Kwanini kumuona Dr kwenye hospitali za serikali ulipie wakati mshahara wake unalipwa na mlipa kodi, can you justify that cost?

Hiyo wizara inahitaji sorting out mambo yalikuwa yanafanyika ovyo mno. Taasisi za afya za serikali sio profit seeking organisation na wala sio sehemu za government income they are meant to provide inclusive services.

Magufuli amuandae Makamba ili kumjengea discipline za kuacha mambo ya urafiki na kuwa firm kwenye kazi vinginevyo nchi aitoenda.

Why him pamoja na upuuzi wake Makamba ni kijana pekee anae pokea criticism na kuzifanyia kazi pale anapoona merit za hoja na kukubali approach zake zina matatizo.
Dunia ya leo hakuna cha bure mkuu
Yaani umuone dokta bure

Ova
 
Mshahara wake unatokea wapi?

Kwanini nilipie kumuona kama anafanya kazi taasisi ya serikali?

Can you justify that kwenye service costing za serikali?
Kwa hiyo kuchangia huduma kunakofanywa na GoT ni wizi? Maana unaropoka kama unaharisha.
 
Huna lolote na vingereza uchwara. Na mijitu kama nyie hata akili hua hamna maana mnadhani kuandika kingereza ndio kujua maambo wakati ni mafala na mbumbumbu.

Customer state of income! Yaani unataka kusema hali ya uchumi wa watanzania haijulikani mpaka uanze kutuelimisha kulipia kabla au baada?

Yaaani umaskini walionao watanzania leo hii uanze kujadili suala la namna gani tulipie? Kwa nini usiweke mazingira ya kupata tiba bure au bima ya afya nafuu.
Ndugu taasisi ya afya inapata budget ya serikali za dawa chanzo chake ni walipa kodi, wafanyakazi wa afya mishahara yao inalipwa na serikali, vifaa tiba vinanunuliwa na serikali.

Sasa based on cost operation ndio maana watu wanafanya services costing kujua kiasi cha ku charge; kwa watu wanaopokea ruzuku charge should aim to cover subsidy deficit.

Listen haya mambo sio ya kila mtu kuropoka.

Dr Gwajima ni genius, hakuna mtu wa kumfananisha nae.

Personal nishachoka kujibizana na mbutika kama wewe unaanzisha mada hujui lolote kuhusu financing walau vilaza wenzio kama kina Bashe wanaelewa elementary concept za insurance kama indemnity, huko mbele ukiwapekechenua on how to avert long term finance risk based on number of contributors or inflation sidhani kama wanaweza jibu.

Huyu mama sio size yenu kama unaelewa health management ni mtu pekee ata nchi zilizoendelea anaweza kupewa nafasi za kwenye wizara ya afya.

Kilatha out.
 
Ndugu taasisi ya afya inapata budget ya serikali za dawa chanzo chake ni walipa kodi, wafanyakazi wa afya mishahara yao inalipwa na serikali, vifaa tiba vinanunuliwa na serikali.

Sasa based on cost operation ndio maana watu wanafanya services costing kujua kiasi cha ku charge; kwa watu wanaopokea ruzuku charge should aim to cover subsidy deficit.

Listen haya mambo sio ya kila mtu kuropoka.

Dr Gwajima ni genius, hakuna mtu wa kumfananisha nae.

Personal nishachoka kujibizana na mbutika kama wewe unaanzisha mada hujui lolote kuhusu financing walau vilaza wenzio kama kina Bashe wanaelewa elementary concept za insurance kama indemnity, huko mbele ukiwapekechenua on how to avert long term finance risk based on number of contributors or inflation sidhani kama wanaweza jibu.

Huyu mama sio size yenu kama unaelewa health management ni mtu pekee ata nchi zilizoendelea anaweza kupewa nafasi za kwenye wizara ya afya.

Kilatha out.
Whether ni genius or not ukweli ni kuwa watanzania ni maskini na hili la kutaka watu wawe wanalipia kabla amechemka. Kuwa genius sio sababu ya kuwa na uwezo wa kuongoza kwa kutumia busara.
 
Kwa hiyo kuchangia huduma kunakofanywa na GoT ni wizi? Maana unaropoka kama unaharisha.
Kama nilivyokwambia huna uwezo wakujadili haya maswala achana na maamuzi ya wasomi kama Dr Gwajima, stick na mambo ya wasanii wa bongo na bongo fleva not serious issues.

Let the woman work, wewe ni kiazi tu.
 
Mshahara wake unatokea wapi?

Kwanini nilipie kumuona kama anafanya kazi taasisi ya serikali?

Can you justify that kwenye service costing za serikali?
Kwa post kama hii kwa nini usikae kimya? Hujui hata sera ya kuchangia gharama za afya ilianza kwa sababu zipi hapa Tanzania!
 
Kama nilivyokwambia huna uwezo wakujadili haya maswala achana na maamuzi ya wasomi kama Dr Gwajima, stick na mambo ya wasanii wa bongo na bongo fleva not serious issues.

Let the woman work, wewe ni kiazi tu.
Nakuambia hivi point ni umaskini wa watanzania na kulazimishwa kulipia gharama za matibabu kabla,hapa amechemka.
 
Whether ni genius or not ukweli ni kuwa watanzania ni maskini na hili la kutaka watu wawe wanalipia kabla amechemka. Kuwa genius sio sababu ya kuwa na uwezo wa kuongoza kwa kutumia busara.
What does service costing entail?

Based on the above evidence of running heath services in Tanzania.

How should society top up given the current government allocation on health expenditures; how much is the deficit given the estimated costs?

Come up with an argument based on that scenario then I can give you a discussion, otherwise acha kurupoka.

Asubuhi njema.
 
Wana JF poleni na pilika pilika za sikukuu.

Kama kichwa cha uzi kinavyojitanabaisha niseme kuwa agizo la waziri wa afya sio zuri kwa mustakabari wa watanzania.

Watanzania wengi tunaishi maisha ya kubahatisha,wengi tunatafuta chakula. Habari ya matibabu huwa ni dharula ndio maana tukiugua au kupata mgonjwa huwa tupata tabu sana.

Kitendo cha waziri mwenye dhamana ya afya zetu kuagiza hospital ziwe zinatukaba tuwe tunalipa gharama ya matibabu kabla ya bahati mbaya ya kufariki haijatokea ni habari mbaya.

Chukulia mkulima wa kijijini ambae amegongwa nyoka na kukimbizwa hospital atapata wapi pesa za kulipia haraka ili atibiwe na asifariki? Mama wa kijijini ambae amepatwa malalaria ghafla ataweza kumudu haya aliyoagiza waziri wa afya?

Wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu,hoja ya bima ya afya kwa kila mtanzania iliibuka na kuwa gumzo. Uzuri rais Magufuli kwa kujibu mapigo ya wapinzani alisema suala la bima ya afya lipo kwenye ilani ya Ccm. Na itakuwa bima ya afya kwa watanzania wote.

Waziri wa afya alitakiwa kwa nia njema ya watanzania maskini ambao anajua ndio huwa wanakwama kupata maiti za wapendwa wao ahakikishe bima ya afya kwa kila mtanzania inapatikana haraka ili tusije kupoteza maisha kwa kukosa matibabu maana kiuhalisia ni ngumu kuwa na cash wakati wote.
Nadhani hujaelewa. Hosp zikishafahamu mhusika hana uwezo kuna taratibu, hivyo waziri kasisitiza utaratibu
 
Wana JF poleni na pilika pilika za sikukuu.

Kama kichwa cha uzi kinavyojitanabaisha niseme kuwa agizo la waziri wa afya sio zuri kwa mustakabari wa watanzania.

Watanzania wengi tunaishi maisha ya kubahatisha,wengi tunatafuta chakula. Habari ya matibabu huwa ni dharula ndio maana tukiugua au kupata mgonjwa huwa tupata tabu sana.

Kitendo cha waziri mwenye dhamana ya afya zetu kuagiza hospital ziwe zinatukaba tuwe tunalipa gharama ya matibabu kabla ya bahati mbaya ya kufariki haijatokea ni habari mbaya.

Chukulia mkulima wa kijijini ambae amegongwa nyoka na kukimbizwa hospital atapata wapi pesa za kulipia haraka ili atibiwe na asifariki? Mama wa kijijini ambae amepatwa malalaria ghafla ataweza kumudu haya aliyoagiza waziri wa afya?

Wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu,hoja ya bima ya afya kwa kila mtanzania iliibuka na kuwa gumzo. Uzuri rais Magufuli kwa kujibu mapigo ya wapinzani alisema suala la bima ya afya lipo kwenye ilani ya Ccm. Na itakuwa bima ya afya kwa watanzania wote.

Waziri wa afya alitakiwa kwa nia njema ya watanzania maskini ambao anajua ndio huwa wanakwama kupata maiti za wapendwa wao ahakikishe bima ya afya kwa kila mtanzania inapatikana haraka ili tusije kupoteza maisha kwa kukosa matibabu maana kiuhalisia ni ngumu kuwa na cash wakati wote.
🤣🤣🤣
 

Attachments

  • VID-20201226-WA0007.mp4
    23.1 MB
Naona bado uko ndotoni, hebu amka kumeshakucha, yani matibabu yako nichangie mimi halafu matibabu yangu atachangia nani?

Unadhani tunaishi kwenye nchi ya kijamaa?! una uwezo mdogo wa kufikiri.
Kama huna Elimu kaa kimya sio lazima uonyeshe upumbavu wako. Bima yoyote hata hao matajiri ni kuchangiana
 
Bima ya Afya itatolewa kwa mtindo upi kwenye taifa ambalo ma jobless ni wengi zaidi ya wenye ajira?

Zaidi wataweka kiwango cha chini mwanachama kulipia kwa mwaka, lakini mwanachama huyo akiugua ugonjwa mkubwa wakuhitaji gharama kubwa hiyo bima haitamsaidia chochote, ataambiwa tena alipie, matokeo yake tutarudi kule kule.

Hapa serikali ni vyema ikatenga fungu kwa ajili ya kuwasaidia wale wataokwama kulipia gharama zote za matibabu yao.
Nimewaza kama wewe mkuu,sio jambo dogo la kukurupuka.
 
Mtu mwenye ajira anaweza kulipia kiwango cha juu kitachomuwezesha kutibiwa kwa uhakika magonjwa yote, wewe usie na ajira au machinga unataka ulipie elfu ishirini kwa mwaka halafu utibiwe figo kwa hiyo pesa?

Serikali lazima iweke mkono hapo.
Eti mchango wa elfu 20 utibiwe figo kiukweli ni ndoto za mchana kweupe,maana hizo bima za kulipia milioni 2 kwa mwaka bado zinabagua baadhi ya magonjwa.
 
Back
Top Bottom