mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 661
Muda umefika kwa hawa watu watatu kujiuzulu. Maisha ya watanzania maskini yanapukutika waziri amekaa kimya kama hawaoni,rais nae yupo kimya sijui kwa nini asiwafukuze hawa mara moja. Watanzania saa ya ukombozi ni sasa, wakikataa kujiuzulu tuwapopoe na mawe