Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 585
- 919
Waziri wa Afya niombe uimulike hii hospital iliyopo mkoa wa pwani! Gharama za huduma ni kubwa mnoo! Mfano ukaenda pale kutibiwa gharama ya kujiandikisha ili umwone daktari ni Tsh 5000/= halafu anayehudumia ni intern.
Gharama za kupima malaria (MRDT) ni tsh 6000. Hapo bado huduma nyingine, bado gharama za dawa. Kiujumla gharama za matibabu Tumbi ni kubwa mnoo! Ni ngumu kuzimudu! Halafu kwa wale wenye bima za afya wanatibiwa sehemu yao tofauti, wana daktari maalumu anayewahudumia
Hii ni hospital ya serikali nategemea ipo kwa ajili ya kutoa huduma na sio biashara! Hizi gharama ni kubwa kuliko hata hospital binafsi. Ukiuliza wanasema ni hospital ya rufaa. Kwa hiyo hata wale tunaoishi jirani tusiende kutibiwa pale.
Gharama za kupima malaria (MRDT) ni tsh 6000. Hapo bado huduma nyingine, bado gharama za dawa. Kiujumla gharama za matibabu Tumbi ni kubwa mnoo! Ni ngumu kuzimudu! Halafu kwa wale wenye bima za afya wanatibiwa sehemu yao tofauti, wana daktari maalumu anayewahudumia
Hii ni hospital ya serikali nategemea ipo kwa ajili ya kutoa huduma na sio biashara! Hizi gharama ni kubwa kuliko hata hospital binafsi. Ukiuliza wanasema ni hospital ya rufaa. Kwa hiyo hata wale tunaoishi jirani tusiende kutibiwa pale.