Waziri wa afya aumbuliwa na mkurugenzi wa manispaa temeke:

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,900
21,988
Siasa siasa siasa jamani
katika kuendeleza upuuzi wa kisiasa ulioanzishwa na mawaziri wanyuma kufyatuka kila wanapochaguliwa jana gazeti moja limemuumbua rasmi mh waziri wetu wa afya aliepita hapo na kukuta wafanyakzi wa hosp ya temeke wakilalamika wizi mtupu kuna posho wanapaswa kulipwa awapewi zinatiwa mfukoni na wakurugenzi na wakubwa

wakati hayo yakiendelea mh waziri aliamka na kubwatuka nasema hivi nimepata malalamiko yenu kabla na nimeonyeshwa na barua yenu nnimemwamuru mh mkurugenzi anipe majibu kabla sijaondoka;;wakati hiyo ikiendelea wazir alipewa barua inayoonyesha wanatakiwa kulipwa sh ngapi wafanyakazi..


Alipofwatwa mkurugenzi ndipo aibu nyingine ikaja akadai anasoma kwenye magazeti na kucheka maana hata huyo waziri ajaonana nae wala ajapewa barua wala simu kuambiwa ajieleze chochote..kifupi unajua kuna posho zinatakiwa kutolewa na barua hii hapa saasa sijui hiyo aliopewa waziri yangu inaonyesha ni wakubwa kadhaa na baadhi ya mdk wa kiwango cha tgs1 na si kila dk......

Watanzania nawaletea kwenu mjue jinsi tunavyochakachuliwa na hawa mawaziri wizi mtupu
 
Back
Top Bottom