Waziri wa Africa Mashariki (EAC) Mh. Sitta jiuzuru kwa manufaa ya nchi

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
Ni kipindi sasa tunaona utendaji wa waziri wa afrika mashariki ukiwa chini ya kiwango. Huku mawaziri wengine wakichapakazi Kenya , Uganda na Rwanda.
Mfano rais wetu kashindwa kuhudhulia vikao vya viongozi wa kanda kwa muda wa mwezi mmoja vikao viwilil.

1. Kikao cha ushuru wa pamoja
2. kikao cha good governace
3. Kikao cha smart partenship siju waziri hakuwalika viongozi wa Rwanda, Burundi na Kenya
4. Kikao cha wake wa marais ni Janeth Mseveni ndo alihudhulia, hatujawona mke wa Kenyatta, Kagame ,rais wa Burundi

Ukisikiliza majibu ya waziri ni mepesi mfano kuhusu kikao kilichofanyika uganda alidai hakikuwa kiako cha EAC, inakuwaje asikemee hadharani kamatunavyo mshudia mh membe kuhusu swala la malawi alivyo likalia na kuliweka sawa na watu kujua msimamo wake.

Kama yupo busy na kampeni za 2015 ni wakati muafka aachie madaraka.

Sisi atuwezi kusarvive bila EAC na EAC haiwezi kusavive bila Tanzania.
 
Samahani mod
Nikipindi sasa tunaona utendaji wa waziri wa afrika mashariki ukiwa chini ya kiwango. Huku mawaziri wengine wakichapakazi Kenya , Uganda na Rwanda.
Mfano rais wetu kashindwa kuhudhulia vikao vya viongozi wa kanda kwa muda wa mwezi mmoja vikao viwilil.

1. Kikao cha ushuru wa pamoja
2. kikao cha good governace
3. Kikao cha smart partenship siju waziri hakuwalika viongozi wa Rwanda, Burundi na Kenya
4. Kikao cha wake wa marais ni Janeth Mseveni ndo alihudhulia, hatujawona mke wa Kenyatta, Kagame ,rais wa Burundi

ukisikiliza majibu ya waziri ni mepesi mfano kuhusu kikao kilichofanyika uganda alidai hakikuwa kiako cha EAC, inakuwaje asikemee hadharani kamatunavyo mshudia mh membe kuhusu swala la malawi alivyo likalia na kuliweka sawa na watu kujua msimamo wake.

Kama yupo busy na kampeni za 2015 ni wakati muafka aachie madaraka.

Sisi atuwezi kusarvive bila EAC na EAC haiwezi kusavive bila Tanzania.

Mkuu nikuunge mkono kwa asilimia mia kuhusu watu kuyahitaji hayo majibu. Sasa hivi inaonekana Jumuiya inamegeka na Tanzania ndio tunaohujumiwa lakini hatujasema chochote hadharani. Waziri wa ushirikiano wa Afrika Mashariki anatakiwa atoke hadharani na kutupatia comfort kwamba Jumuiya iko salama ama haiko salama. Haiwezekani viongozi wa nchi tatu ndani ya Jumuiya wanakutana na kufanya mikutano na kutoa maamuzi mazito ambayo yana impact kwa nchi wanachama wa Jumuiya lakini sisi tunakaa tu na kusema haukuwa mkutano wa Jumuiya. Tuambiwe ulikuwa Mkutano wa nini? Nimesikia tena kulikuwa na kikao cha Good Governance na kama kawaida Tanzania haikuwepo! Kama si kuvunja Jumuiya basi ni dharau kwa Tanzania. Ina maana Tanzania haina mchango wowote katika mikutano hiyo?

Mh. Samwel Sitta mimi binafsi nakuheshimu na kuuheshimu mchango wako katika nchi hii na pia mchango wako mkubwa wakati unasimamia Bunge ukiwa kama Spika. Hili suala la hii mikutano kama lilivyoletwa hapa na mkuu R.B linahitaji majibu yako muafaka. Niseme neno moja kwamba kabla hujajiuzulu kama alivyopendekeza R.B mimi naomba utupatie majibu kwanza ili tuyapime.

 
Last edited by a moderator:
Samahani mod
Nikipindi sasa tunaona utendaji wa waziri wa afrika mashariki ukiwa chini ya kiwango. Huku mawaziri wengine wakichapakazi Kenya , Uganda na Rwanda.
Mfano rais wetu kashindwa kuhudhulia vikao vya viongozi wa kanda kwa muda wa mwezi mmoja vikao viwilil.

1. Kikao cha ushuru wa pamoja
2. kikao cha good governace
3. Kikao cha smart partenship siju waziri hakuwalika viongozi wa Rwanda, Burundi na Kenya
4. Kikao cha wake wa marais ni Janeth Mseveni ndo alihudhulia, hatujawona mke wa Kenyatta, Kagame ,rais wa Burundi

ukisikiliza majibu ya waziri ni mepesi mfano kuhusu kikao kilichofanyika uganda alidai hakikuwa kiako cha EAC, inakuwaje asikemee hadharani kamatunavyo mshudia mh membe kuhusu swala la malawi alivyo likalia na kuliweka sawa na watu kujua msimamo wake.

Kama yupo busy na kampeni za 2015 ni wakati muafka aachie madaraka.

Sisi atuwezi kusarvive bila EAC na EAC haiwezi kusavive bila Tanzania.
Nani kakwambia kuwa hatuwezi kuishi bils EAC huku ni kupotoka na kujidanya kwani wakati haijaundwa tuliishije,

swala la eac linamambo mengi ndani yake wewe unfanya pupa wenzetu wamelenga ardhi yetu ndiyo maana tuliposema ardhi siyo swala la shirikisho wamenuna sana.
 
  • Thanks
Reactions: R.B
Mkuu nikuunge mkono kwa asilimia mia kuhusu watu kuyahitaji hayo majibu. Sasa hivi inaonekana Jumuiya inamegeka na Tanzania ndio tunaohujumiwa lakini hatujasema chochote hadharani. Waziri wa ushirikiano wa Afrika Mashariki anatakiwa atoke hadharani na kutupatia comfort kwamba Jumuiya iko salama ama haiko salama. Haiwezekani viongozi wa nchi tatu ndani ya Jumuiya wanakutana na kufanya mikutano na kutoa maamuzi mazito ambayo yana impact kwa nchi wanachama wa Jumuiya lakini sisi tunakaa tu na kusema haukuwa mkutano wa Jumuiya. Tuambiwe ulikuwa Mkutano wa nini? Nimesikia tena kulikuwa na kikao cha Good Governance na kama kawaida Tanzania haikuwepo! Kama si kuvunja Jumuiya basi ni dharau kwa Tanzania. Ina maana Tanzania haina mchango wowote katika mikutano hiyo?

Mh. Samwel Sitta mimi binafsi nakuheshimu na kuuheshimu mchango wako katika nchi hii na pia mchango wako mkubwa wakati unasimamia Bunge ukiwa kama Spika. Hili suala la hii mikutano kama lilivyoletwa hapa na mkuu R.B linahitaji majibu yako muafaka. Niseme neno moja kwamba kabla hujajiuzulu kama alivyopendekeza R.B mimi naomba utupatie majibu kwanza ili tuyapime.

Mkuu kwani jumuiya unaitaka ya nini washirika wenyewe wamekaa kutaka kuinyonya tanzania.
 
JK anaona bora ushirikiano na nchi za mbali kuliko majirani hajui kuwa waasi huanzia jirani na kuingia nchini
 
Mkuu kwani jumuiya unaitaka ya nini washirika wenyewe wamekaa kutaka kuinyonya tanzania.


Mimi wala siitaki ila watuambie tu kwamba wanajitenga na sisi tulijue hilo kwa uwazi kuliko kufanya mambo kinyemela na kutufanya kama majuha. Wote mamcho yao yalikuwa kwenye ardhi ya Tanzania walivyoona tumewashtukia na fast tracking yao wakaona hatufai.
 
nani kakwambia kuwa hatuwezi kuishi bils eac huku ni kupotoka na kujidanya kwani wakati haijaundwa tuliishije,

swala la eac linamambo mengi ndani yake wewe unfanya pupa wenzetu wamelenga ardhi yetu ndiyo maana tuliposema ardhi siyo swala la shirikisho wamenuna sana.

sisi hatukatai ni wakati wa waziri husika kutoa msimamo kuhusu vikao vikubwa . Bila ya tanzania kuhusishwa na vyojua mkataba ni lazima hueshimiwe.
Mbona mwaziri wengine wanatoa msimamo kwa mambo madogo iweje yeye anakaa kimya kwa jambo kubwa kama hili au tena hiyo ni kazi ya raisi??????????????
 
Jamaa amekosa morale tangu wampige chini Uspika. Fatilia nyendo zake tangu ameupata huo Uwaziri baada ya kumiminwa na Mama House mjengoni.
EAC imeshakosa mvuto kwa Tanzania. Jamaa wanapiga mishe mishe zao wenyewe sasa hivi KE, UG na RWANDA.
Waziri ameshindwa kumshauri Rais wake vitu vya msingi kufanya ndani ya EAC.
Nadhani anahisi 2015 anaweza akafanya mabadiliko sana.
Tugange yajayo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sitta yupo busy anafanya kampeni zake za urais atashughulika na Jumuiya ya EA.

Chezea urais wewe.

Ni bora angekaa chonjo kama Lowassa afanye yake.
 
Back
Top Bottom