Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Rashidi Jololo

JF-Expert Member
Sep 21, 2022
1,467
2,315
Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.

NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba

keki1.jpg


keki2.jpg

keki3.jpg
 
Back
Top Bottom