mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,337
Wananchi wanasema jengo hili wameezeka kwa nguvu zao. Wataalam wameeleza wametumia pesa za Serikali! Nimemtaka DC kuchunguza.
Lini hela ya umma haijawahi kuliwa..viongozi wote ngazi za juu wanazipiga kama kawa..ila wakizipiga ngazi za chini inaonekana kosa..nchi haiwezi endelea hii...ina laana.
Hakuna cha ajabu hapa. Hii ni awamu ya kutumbua