mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Wadau nimekuwa nafuatilia sana ajira za Wizara ya afya na maendeleo ya jamii inayoongozwa na mh.Ummy Mwalimu.Wizara hii imekuwa inatoa ajira za madaktari manesi na watumishi wengine wa afya lakini haijawahi kutangaza ajira za Maafisa Maendeleo ya Jamii.Ombi tunamwomba Waziri mwenye dhamana atufikirie na sie wenye kada ya Maendeleo ya jamii ili tutoe michango yetu kwa wananchi.