Waziri Ummy Mwalimu: Maduka ya Dawa nje ya hospitali yaliyo ndani ya mita 500 kuondolewa

Wagonjwa/ndugu wanafuata dawa umbali mrefu tena kwa gharama kubwa!
Huyu waziri angesema kuwa serikali imetekeleza maboresho ambayo kwa sasa mwisho wa umbali elekezi kwa mgonjwa kupata dawa ni mita 500 angeeleweka!
Ajitathmini!!
 
MSD yenyewe haina dawa za kupeleka mahospitalini, je ukikataza maduka yasiwepo jirani unawatakia mema wagonjwa wetu? Huyu Ummy ni Waziri wankutaka KIKI kama wasanii

Hiyo solution ya Ummy Mwalimu haiwezi kuongeza upatikanaji wa dawa mahospitalini. Kwanza angetupa ushahidi wa dawa na vifaa tiba vya Serikali alivyovikuta kwenye hizo pharmacy zikizopo 500 metres
Kachemka pakubwa sana
 
Leo, Waziri Ummy Mwalimu amesema Maduka yote ya dawa nje ya hospitali yanatakiwa kuwa umbali wa mita 500. Amesema Sheria hii aliipitisha yeye kabla sijaondoka Wizarani na kuongeza kuwa Maduka yaliyo ndani ya Mita 500 ndani ya Hospitali Nchi nzima wanakwenda kuyaondo.

Waziri Ummy amehoji: "Hospitali dawa hakuna, kwanini maduka ya nje dawa zipo? Haikubaliki"

NUKUU
“Ninatuma salamu maduka yote ya dawa lazima yawe mita 500 kutoka ndani ya hospitali, tunakwenda kuyaondoa ifikapo Julai Mosi mwaka huu tulishatoa muda wa kutosha kufikia Juni 30 yawe yameondoka.

“Wamiliki wanafanya kinyume cha sheria nipo na mfamasia Mkuu wa serikali hapa, tulitunga na tulipitisha kanuni maduka yote yawe mita 500 kutoka hospitalini nikaambiwa waziri kuna wengine walipewa leseni kabla, hivyo tumebakisha miezi mitano hakuna cha msalie mtume wala kuomba radhi,”

''Mwananchi anakosaje dawa? Suala hili ni la pande mbili MSD na hospitali na nilishatoa maagizo. Uwepo wa haya maduka yanachangia udokozi wa dawa na yanaondoa imani kwa wananchi kwamba angalau kuna usimamizi mzuri wa dawa vituoni,”


Pia soma

View attachment 2094049
View attachment 2095217
Huyu waziri kweli anafanya kazi vizuri , haje haone hoja za wafamasia vs doctors, famasi kuwa mita mia haina shida mteja anaweza ifuata lingana na mahitaji yake ,waziri shughulika na Mambo ya msingi kwanza
 
Leo, Waziri Ummy Mwalimu amesema Maduka yote ya dawa nje ya hospitali yanatakiwa kuwa umbali wa mita 500. Amesema Sheria hii aliipitisha yeye kabla sijaondoka Wizarani na kuongeza kuwa Maduka yaliyo ndani ya Mita 500 ndani ya Hospitali Nchi nzima wanakwenda kuyaondo.

Waziri Ummy amehoji: "Hospitali dawa hakuna, kwanini maduka ya nje dawa zipo? Haikubaliki"

NUKUU
“Ninatuma salamu maduka yote ya dawa lazima yawe mita 500 kutoka ndani ya hospitali, tunakwenda kuyaondoa ifikapo Julai Mosi mwaka huu tulishatoa muda wa kutosha kufikia Juni 30 yawe yameondoka.

“Wamiliki wanafanya kinyume cha sheria nipo na mfamasia Mkuu wa serikali hapa, tulitunga na tulipitisha kanuni maduka yote yawe mita 500 kutoka hospitalini nikaambiwa waziri kuna wengine walipewa leseni kabla, hivyo tumebakisha miezi mitano hakuna cha msalie mtume wala kuomba radhi,”

''Mwananchi anakosaje dawa? Suala hili ni la pande mbili MSD na hospitali na nilishatoa maagizo. Uwepo wa haya maduka yanachangia udokozi wa dawa na yanaondoa imani kwa wananchi kwamba angalau kuna usimamizi mzuri wa dawa vituoni,”


Pia soma

View attachment 2094049
View attachment 2095217
Mungu ibariki JF
 
Mungu ibariki JF
Mkuu nchii hii imegeuka Shamba la bibi hasa ukiona mfamasia Sasa anashupaza shingo kana kwamba yeye ndo kila kitu KWa mgonjwa kisa tu kapitia pale ,

Hiko hivi mkuu ukisoma pharmacokinetics, pharmacodynamics ambayo ndo misingi ya course ya pharmacy utajua ,wameanza kujitoa ufaham, leo hata pharmacy nje ya utafiti, nje ya kutengeneza dawa viwandani, Kama ni kutibu tu wawepo wasiwepo hakuna kinachoharibika, sijui why wajiona muhim na wa ziada,

Tuna speciality tz na nje za kutengeneza vifaa na kurepair hii ni industry muhim Sana , maana vifaa vyote mfano , x-ray, MRI, CT SCAN Hawa ndo wenyewe ila hawatambi, Sasa Hawa wafamasia majingambo ndo KILA kitu,
Waelewe mgonjwa hatibwi na mtu mmoja , mbele ya mgonjwa mmoja Kuna team nyingi Ili apote ,

Mwisho hatima ya mgonjwa bado ipo KWa doctor, yeye ndo anaamua
1 ampime nini
2.achunguze nini, na atoe matibabu yapi , Sasa imefika wafamasia Sasa eti ndo wanaanza wapangia maboss wao ,WAMEROGWA HAWA
 
Huu ndiyo ujamaa. Ujamaa ni mfumo wa kipuuzi kabisa wa kuendesha nchi. Pilipili ya shamba yakuwashia nini?
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom